Natafuta Kazi wapendwa

Natafuta Kazi wapendwa

King davido78

New Member
Joined
Jun 10, 2022
Posts
1
Reaction score
0
Naomba kazi yoyote itakayo niweka mjini wakati nikihangaikia mambo yangu ya kuwa employed kulingana na professional yangu. Niko dar es salaam, 0767908931 namba yangu
 
Vijana siku hizi kujielezea ni shida sana , sema una elimu gani, una ujuzi gani, una uzoefu gani na ungependa kazi hasa za aina gani??
Na unapatikana wapi?? Ukisema kazi yoyote unatuacha kwenye mabano mjini kuna kazi nyingi
 
Vijana siku hizi kujielezea ni shida sana , sema una elimu gani, una ujuzi gani, una uzoefu gani na ungependa kazi hasa za aina gani??
Na unapatikana wapi?? Ukisema kazi yoyote unatuacha kwenye mabano mjini kuna kazi nyingi
Kazi ulinayo iweke hapa ili kama inamfaa au haiwezi atasema yeye mwenyewe coz amekuambia anatafuta kazi yoyote ile

Tusiwe wakosoaji na wajuaji sana bila kuwa na msaada wowote
 
Acha uvivu unless huna uhitaji, huwezi kutafuta kazi kwa short description kiasi hiki. Andaa mda wa kutosha kuandika CV zako vizuri onyesha unajali weka taaluma yako, na vipaombele vyako vyakazi
 
Vijana siku hizi maisha mnachukulia simple sana
 
Kazi ulinayo iweke hapa ili kama inamfaa au haiwezi atasema yeye mwenyewe coz amekuambia anatafuta kazi yoyote ile

Tusiwe wakosoaji na wajuaji sana bila kuwa na msaada wowote
Usipalilie ujinga.
Maelezo ya mwenye uzi hayajitoshelezi.
 
Haya kama una urefu futi 6 na una cheti Cha kidato cha nne nenda Guarderword kuna kazi za ulinzi mshahara laki 2 na nusu , ofisi zao ziko mikocheni kwa warioba.
 
Haya kama una urefu futi 6 na una cheti Cha kidato cha nne nenda Guarderword kuna kazi za ulinzi mshahara laki 2 na nusu , ofisi zao ziko mikocheni kwa warioba.
Good!…....hii ndio inahitajika mkuu na hapo atakayeshindwa ni yeye mwenyewe
 
Haya kama una urefu futi 6 na una cheti Cha kidato cha nne nenda Guarderword kuna kazi za ulinzi mshahara laki 2 na nusu , ofisi zao ziko mikocheni kwa warioba.
Hakuna kitu kama hicho. Ingekuwa kupata kazi za mshahara wa laki mbili ni simpo kiasi hicho basi sidhani kama kungekuwa na house girl wa 30000 kwa mwezi
 
Hakuna kitu kama hicho. Ingekuwa kupata kazi za mshahara wa laki mbili ni simpo kiasi hicho basi sidhani kama kungekuwa na house girl wa 30000 kwa mwezi
Guarderword hawana longolongo kama ana hizo sifa nilizotaja anachukuliwa wanachukua intake mpya mara kwa mara sababu wengi pia wanaacha kazi kila siku ,wengi wanaofanya kazi hapo ni magraduates wanaficha vyeti vyao vya degree wakipata kazi zao za maana wanaacha.
 
Back
Top Bottom