Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Mtafute senior jobless akuunganishe na shule zenye uhitaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanaJF nakuja kwenu kuomba kazi ya Ualimu wa Kingereza. Iwe msingi au sekondari popote naweza kufundisha. Nimemaliza UDSM pale na nina Upper Second (3.8).
Pia nina uzoefu wa kufundKIDT-VTC MOSHI Tunahitaji mwlalimu WA ecd, front office na secretary kwa wanafunzi wa ngazi ya VETA TUWASILIANE 0754469894 /0717157640
AsanteKila la kheri...
Omba International school of moshi nternshipWanaJF nakuja kwenu kuomba kazi ya Ualimu wa Kingereza. Iwe msingi au sekondari popote naweza kufundisha. Nimemaliza UDSM pale na nina Upper Second (3.8).
Pia nina uzoefu wa kufundisha zaidi ya miaka mitatu maana hadi naandika uzi huu bado nipo kazini. Naweza kufanya kazi popote na niko tayri kwa interview muda wowote.
0693215343
Asanteni
Napataje connection hapoOmba International school of moshi nternship
Simple ingia web yao omba wako fair sanaNapataje connection hapo
Huwa naomba ajira portal ila sijaiona. Nying wanataka masters na mm sinaKwa passmark yako unaweza kuwa TUTORIAL ASSISTANT UNIVERSITY GPA 3.8kwann usiombe ajira ya kufundisha chuo kwa field uliosomea
Kama una connection nigee nione inakuwajeKwa passmark yako unaweza kuwa TUTORIAL ASSISTANT UNIVERSITY GPA 3.8kwann usiombe ajira ya kufundisha chuo kwa field uliosomea
Sawa ntainchekSimple ingia web yao omba wako fair sana
Kwa GPA yako, soma Master ya fani yako mkuu,Huwa naomba ajira portal ila sijaiona. Nying wanataka masters na mm sina
Asante kwa ushauri ndugu. Acha nichek uwezekanoKwa GPA yako, soma Master ya fani yako mkuu,
ukipata GPA ya 4.0,
Umemaliza kabisa changamoto ya ajira.
Wanalipa posho huko?Napataje connection hapo
Mkuu kwenye hiyo Intern wanalipa posho. Info please kama unafahamu.Omba International school of moshi nternship
Bado sijapata mchongo Wana jfMkuu kwenye hiyo Intern wanalipa posho. Info please kama unafahamu.