Codename96
Member
- Sep 17, 2020
- 90
- 85
Labda kama wanafurahia kufanya kazi nyingine tofauti na ualimu.Pole kiongozi
Vyeti vimefungiwa makabatini toka 2015.
Maisha ya sasa furaha ni juu ya pesa unayopata siyo furaha juu ya kazi unayofanya..Labda kama wanafurahia kufanya kazi nyingine tofauti na ualimu.
Ahsante sana kwa ushauri wako. Lakini mimi napenda kuwa mwalimuMaisha ya sasa furaha ni juu ya pesa unayopata siyo furaha juu ya kazi unayofanya..
Pambana pengine utabahatika.
Nimesema nipo tayari kufanya kazi mpaka masaa 12. Hicho unachokizungumzia ni masaa 18. Masaa 18 kwa kweli na mimi binadamu ndugu yangu.Je utaweza kufundisha kuanzia sa 12 alfjr mpaka 0.00 usku?
Asante sana. Japo itabidi niingie deni tena ili nipate capital. Nawaza sana jinsi ya kupunguza idadi ya madeni niliyonayo.Kama utaweza mkuu anza biashara ndogondogo hapo dar ...uku unatuma maomb sehem mbali x2 unweza pata...msalimie mwapalile,sago,magoti,kahagwa,prof.njabili,briton,mwambapa,asheli,mganda,kifyasi,magan,na wengine wengine...bila kusahau anagisye kwenye ethics of teaching
Kwani Dar kazi hazipatikani kaka ?Unatafuta kazi ya kufundisha dar?
Acha utani braza
Magani Mzee wa Welfare state...Kama utaweza mkuu anza biashara ndogondogo hapo dar ...uku unatuma maomb sehem mbali x2 unweza pata...msalimie mwapalile,sago,magoti,kahagwa,prof.njabili,briton,mwambapa,asheli,mganda,kifyasi,magan,na wengine wengine...bila kusahau anagisye kwenye ethics of teaching
Kwani si mwalimu tayari? Au mpaka upate kazi ndio uwe mwalimu kamili? Umeambiwa kuna batch za 2015 huko,tupo nao wanauza matikiti ya kukata kipande 300,kazi hakuna.Ahsante sana kwa ushauri wako. Lakini mimi napenda kuwa mwalimu
Dar kuna harakat nyingi sana, viwanda, hotel,Kwani Dar kazi hazipatikani kaka ?
Mimi nilihisi Dar es salaam pana shule nyingi sana.
Asante sana kwa ushauri wako.Kwani si mwalimu tayari? Au mpaka upate kazi ndio uwe mwalimu kamili? Umeambiwa kuna batch za 2015 huko,tupo nao wanauza matikiti ya kukata kipande 300,kazi hakuna.
Ndugu yangu kazi inaendana na elimu. Mimi elimu yangu ni ualimu. Unanishauri jambo gani ? Nifanye short course ?Dar kuna harakat nyingi sana, viwanda, hotel,
Shule zipo ila kupata kazi ni ngumu, changamoto ni nying sana, walimu kupata kazi ya kufundisha
Mimi naamin ni rahisi kupata kaz yenye pesa dar kuzid hata huo ualimu
Nimesema nipo tayari kufanya kazi mpaka masaa 12. Hicho unachokizungumzia ni masaa 18. Masaa 18 kwa kweli na mimi binadamu ndugu yangu.
Tatizo haujaeleza masomo unayofundisha ningemshawishi mshua akakuchomeka kwenye shule yake inaitwa WINAM CARIER. SEC WNdugu yangu kazi inaendana na elimu. Mimi elimu yangu ni ualimu. Unanishauri jambo gani ? Nifanye short course ?
Kuna jamaa mmoja kanambia tafuta pesa ujifunze short course itakupa ajira.