Natafuta kazi ya Ualimu ndugu zangu

Natafuta kazi ya Ualimu ndugu zangu

Kama utaweza mkuu anza biashara ndogondogo hapo dar ...uku unatuma maomb sehem mbali x2 unweza pata...msalimie mwapalile,sago,magoti,kahagwa,prof.njabili,briton,mwambapa,asheli,mganda,kifyasi,magan,na wengine wengine...bila kusahau anagisye kwenye ethics of teaching
Duh Mwampalile na mabuti yake
 
Tatizo haujaeleza masomo unayofundisha ningemshawishi mshua akakuchomeka kwenye shule yake inaitwa WINAM CARIER. SEC W
IPO LAMADI MKOA WA SIMIYU , wilaya ya busega

sent from HUAWEI
Bila shaka nimeeleza ndugu yangu, labda nieleze tena: Historia na Kiingereza.
 
Dogo hongera kwa kumaliza chuo na karibu mtaani sikutishi nakwambia tu ukweli kama huna connection ya kupata kazi au huna mtaji wa kufanya biashara UTAPATA TABU SANA. narudia tena kama huna kimojawapo hapo juu omba sana Mungu maana maisha dar bila hivyo ni magumu sana maisha lazima yakugonge. Anyway neno langu sio sheria ila jiandae tu kisaikologia kuzunguka na bahasha, kufanya interview za kutosha etcetc ila usijali hiko kipindi ni kigumu sana ila kitapita
 
Hii sio kazi, bali ni adhabu ama unyanyasaji
Wenzako tulikuwa tunafanyaa hizo kabla hatujakimbia kuna shule hapa mjin wanafanya hivo unataka ushaid achana na hiz ptivate ww wana dudu usipime
 
Wenzako tulikuwa tunafanyaa hizo kabla hatujakimbia kuna shule hapa mjin wanafanya hivo unataka ushaid achana na hiz ptivate ww wana dudu usipime
Poleni sana walimu, kwakweli sikuahi kufahamu hili
 
Dah nimesoma ombi lako ,nikakukumbuka kipindi unamcheka jamaa aliyedisco kisa kuchelewa mitihani ya mwisho asubuhi ,kutokana na kuwa lindo usiku,chini ya Kampuni ya GARDA ,dah na leo anaendesha maisha yake ,duh mungu akusaidie kaka ila jamaa anakusalimia anasema ukikosa kwa kula na kulala karibu atakuhifadhi ndugu .
 
Habari za saa hizi ndugu zangu,

Aise! Maisha ni changamoto kubwa sana kwangu kwa sababu ya kukosa hata kodi ya nyumba. Nilikuwa nasoma chuo Dar es Salaam. Chuo nimemaliza natafuta kazi.

Elimu yangu: BA-ED (Bachelor of arts with Education). (Nimemaliza mwaka huu nasubiri transcript).

Masomo ya kufundishia: Kiingereza na Historia.

Niko tayari kufanya kazi hata masaa kumi na mbili kwa siku.

Niko tayari pia kufanya kazi hata nje ya mkoa.

Nitashkuru sana ombi langu litazingatiwa.
Usiwe mtumwa wa tumbo,kazi masaa kumi na mbili kwa siku wewe siyo binadamu Kama wengine?
 
Dah nimesoma ombi lako ,nikakukumbuka kipindi unamcheka jamaa aliyedisco kisa kuchelewa mitihani ya mwisho asubuhi ,kutokana na kuwa lindo usiku,chini ya Kampuni ya GARDA ,dah na leo anaendesha maisha yake ,duh mungu akusaidie kaka ila jamaa anakusalimia anasema ukikosa kwa kula na kulala karibu atakuhifadhi ndugu .
Maybe Karma works
 
Back
Top Bottom