Nyanokwe96
Member
- Jul 26, 2022
- 22
- 12
Mimi Ni kijana wa miaka 26
Nina shahada sayansi na elimu (mwalimu wa chemistry na biology)
Nimeoa naombeni mwenye connection ya kazi yoyote anisaidie kwani napitia kipindi kigumu
Nina uzoefu wa kufundisha na pia na kazi zingine naweza kufanya mimi
Ni mtiifu na nitafanya kazi kwa uwaminifu mkubwa
Nina shahada sayansi na elimu (mwalimu wa chemistry na biology)
Nimeoa naombeni mwenye connection ya kazi yoyote anisaidie kwani napitia kipindi kigumu
Nina uzoefu wa kufundisha na pia na kazi zingine naweza kufanya mimi
Ni mtiifu na nitafanya kazi kwa uwaminifu mkubwa