Natafuta kazi ya ulinzi, nisaidieni ndugu zangu

Natafuta kazi ya ulinzi, nisaidieni ndugu zangu

Mijadala Migumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
380
Reaction score
422
Habari ndugu zangu! Kiukweli niko kwenye SURVIVAL MODE hali ni mbaya sana ground ni pamoto kwakweli moja haikai wala mbili haikai naombeni kwa mwenye connection ya kazi ya ULINZI as a stepping stone anisaidie ndugu zangu.

Jinsia : Mwanaume

Umri : Miaka 25

Elimu : Shahada ya Kwanza

Mafunzo : JKT miaka 2

Basic Driving : Chuo X nina leseni pia ingawa uzoefu wa muda mfupi.

Najua pia kutumia Silaha.

Nafahamu kutumia Computer.

NAPATIKANA DAR ES SALAAM- KIGAMBONI,

Kwa yoyote mwenye uwezo wa kunishika mkono naombeni msaada waungwana. Yoyote mwenye connection ya kazi ya ULINZI naomba anisaidie wakuu. Mungu awalindeni na kuwabariki ndugu zangu.
 
Habari ndugu zangu! Kiukweli niko kwenye SURVIVAL MODE hali ni mbaya sana ground ni pamoto kwakweli moja haikai wala mbili haikai naombeni kwa mwenye connection ya kazi ya ULINZI as a stepping stone anisaidie ndugu zangu.

Jinsia : Mwanaume

Umri : Miaka 25

Elimu : Shahada ya Kwanza

Mafunzo : JKT miaka 2

Basic Driving : Chuo X nina leseni pia ingawa uzoefu wa muda mfupi.

Najua pia kutumia Silaha.

Nafahamu kutumia Computer.

NAPATIKANA DAR ES SALAAM- KIGAMBONI,

Kwa yoyote mwenye uwezo wa kunishika mkono naombeni msaada waungwana. Yoyote mwenye connection ya kazi ya ULINZI naomba anisaidie wakuu. Mungu awalindeni na kuwabariki ndugu zangu.
Tuwasiliane.. Ama muda huu amka jiandae ufike mlandizi nitakupa directions
 
Tuwasiliane.. Ama muda huu amka jiandae ufike mlandizi nitakupa directions
Unapoenda kwa Mshana huko Mlandizi hakikisha Una referee wawili wa uhakika kama vile unawaweka 'Bond' eg Baba, Kaka mjomba Shangazi ambaye ana dhamana binafsi kama nyumba, ameajiliwa serikalini etc, hii itaongeza uaminifu kwenye Mali za watu
 
Ubarikiwe Mshana Jr , yaani huyu dogo umri wake sawa mwanangu wa 2, inasikitisha sana. Leo ni graduate anaomba kazi ya ulinzi? Nchi hii inahitaji mabadiliko makubwa sana.
Tuko busy na vitu visivyo na maana kabisa, tulipokosea ni pale tulipoipa siasa thamani na hadhi kubwa kuliko taaluma na weledi
 
Hali ni mbaya, 25 yrs old graduate anatafuta kazi ya ulinzi! Msaidieni mwenye kuweza.
Mkuu mbona kawaida Sana, nimekutana na Vijana wa hivyo wengi Tu kwenye NGO kubwa kubwa, Migodini ndio usiseme, miradi mikubwa ya Ujenzi kama kule Rufiji na daraja la Busisi Mwanza, hawa wanaopita mtaani wakiuza laini za Tigo, Halotel, Airtel wengine Ni graduate wa IFM sasa Ole wako ufanye makosa ya kiufundi kwa akili yako hapo ndio utajuta kwanini FAM wamemwamgusha huku wakimchekelea
 
Back
Top Bottom