MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
wewe ndo unatafuta kazi au mtoa mada?Naku check vipi na pm umefunga bro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ndo unatafuta kazi au mtoa mada?Naku check vipi na pm umefunga bro?
Mimi pia kaka. Natafuta kazi ya ulinzi piawewe ndo unatafuta kazi au mtoa mada?
Mungu akubariki mkuu.💪🏿🙏🏿 muhimu kushikana mikono hata kama hatufahamiani
Siasa na uchawa vinalipa sana.Tuko busy na vitu visivyo na maana kabisa, tulipokosea ni pale tulipoipa siasa thamani na hadhi kubwa kuliko taaluma na weledi
Kwa elimu yako mbona kwenye hizi giant Security companies zote unafit? kwa mfano SGA, Guardal world, G4s nk. Usikae ndani toka nje pambana ukiwa kwenye uwanja wa vita. Hutokosa pa kujishikiza kila siku mimi bado nitawashauri kuwa priavate Security field au corperate security bado kuna wigo mpana sana wa ajira ikiwa tu utafahamu ku-unllock code zake. Kwa sasa nashuhudia watu wa marketing, HR nk wakishift kwenda upande wa security ambapo wanalipwa mishahara mikubwa tu ya kuweza kuishi. Ukishaingia huko ukafanya Certification kama PSP, CPP, CPD SRMP-C/R na CSMP.Habari ndugu zangu! Kiukweli niko kwenye SURVIVAL MODE hali ni mbaya sana ground ni pamoto kwakweli moja haikai wala mbili haikai naombeni kwa mwenye connection ya kazi ya ULINZI as a stepping stone anisaidie ndugu zangu.
Jinsia : Mwanaume
Umri : Miaka 25
Elimu : Shahada ya Kwanza
Mafunzo : JKT miaka 2
Basic Driving : Chuo X nina leseni pia ingawa uzoefu wa muda mfupi.
Najua pia kutumia Silaha.
Nafahamu kutumia Computer.
NAPATIKANA DAR ES SALAAM- KIGAMBONI,
Kwa yoyote mwenye uwezo wa kunishika mkono naombeni msaada waungwana. Yoyote mwenye connection ya kazi ya ULINZI naomba anisaidie wakuu. Mungu awalindeni na kuwabariki ndugu zangu.
Kwanza tuko bize na stori za kipumbavu za Aziz na MobettoMijadala Migumu tafuta connection mahala pengine .
Humu watakuzoea vibaya utakuja sema
KabisaaKwanza tuko bize na stori za kipumbavu za Aziz na Mobetto
+255676721372 nipigie usiku kuanzia 20:30-22:00Mimi pia kaka. Natafuta kazi ya ulinzi pia