Natafuta kazi ya ulinzi, nisaidieni ndugu zangu

Natafuta kazi ya ulinzi, nisaidieni ndugu zangu

Angalia leseni ya udereva ikusaidie huko kwenye ulinzi ni kugumu sana wengi mishahara yao hata 300k haifiki
 
Ndugu zangu bado sijafanikiwa kupata kazi, naombeni mnisaidie hali ni mbaya depression is really kichwa kinawaka moto.
 
Nimeona threads nyingi vijana wenzangu hawajui waanzie wapi baada ya kumaliza masomo ,nimeleta mbinu kadhaa kwa ufupi zitakazo wasaidia kupata kazi ikiwezekana kwa muda mfupi sana.

Ombeni internship kupitia TAESA, ombeni volunteering kwenye mashirika ya kimataifa yaliyopo nchini (kwa kujaza online kupitia website zao)

msiogope kusambaza CV kwenye kampuni za ulinzi mfano Dar nenda ironside security ofisi zao zipo rose garden mikocheni hata mm nilianzia huko ni subsidiary ya SGA. pia peleka Cv zako G4s ,garda world .

usisahau pia kupeleka cv kwenye taasis changa za fedha kama asa microfinance kule kinondoni makaburini wana recruits daily, brac maendeleo pia . lastly,jisajili ajira portal apply kazi ta taaluma yako ukiwa feat kwenye paper utatoboa tu .

fanya hayo yote ukiomba MUNGU SANA, lkn pia hata upande wa pili ukitumia sio mbaya kikubwa upate kazi kozi naelewa msoto wa kitaa ulivyo
 
Nimeona threads nyingi vijana wenzangu hawajui waanzie wapi baada ya kumaliza masomo ,nimeleta mbinu kadhaa kwa ufupi zitakazo wasaidia kupata kazi ikiwezekana kwa muda mfupi sana.

Ombeni internship kupitia TAESA, ombeni volunteering kwenye mashirika ya kimataifa yaliyopo nchini (kwa kujaza online kupitia website zao)

msiogope kusambaza CV kwenye kampuni za ulinzi mfano Dar nenda ironside security ofisi zao zipo rose garden mikocheni hata mm nilianzia huko ni subsidiary ya SGA. pia peleka Cv zako G4s ,garda world .

usisahau pia kupeleka cv kwenye taasis changa za fedha kama asa microfinance kule kinondoni makaburini wana recruits daily, brac maendeleo pia . lastly,jisajili ajira portal apply kazi ta taaluma yako ukiwa feat kwenye paper utatoboa tu .

fanya hayo yote ukiomba MUNGU SANA, lkn pia hata upande wa pili ukitumia sio mbaya kikubwa upate kazi kozi naelewa msoto wa kitaa ulivyo
Nashukuru ndugu, Garda, g4s na sga, insight kote nishapita ila ngoma bila bila ndiyo maana nimekuja humu kuomba msaada aseeh
 
Nashukuru ndugu, Garda, g4s na sga, insight kote nishapita ila ngoma bila bila ndiyo maana nimekuja humu kuomba msaada aseeh
call for interview yao huwa wana angalia idadi ya applicants ifikie idadi kadhaa so kuwa na subra chief, ila pole sana man . na hapo juu naona bro Mshana Jr alikuahidi kazi jaribu kumzingatia
 
Kwanini umechagua kazi ya ulinzi badala ya hizo fani nyingine ulizonazo kama udereva, usteshenari, pamoja na hiyo fani Yako ya shahada uliyosomea?
 

Mshana Jr

Boss ukipata connection za techinical upande wa mashine hizi share nami mkuu

-Kuunda mashine za Barafu(block na mifuko) pia na Ice cream

-Ubunifu mifumo ya umeme na Electronics katika vifaa na mapambo.

-kuunda Mashine za kutotoresha vifaranga
-Kuunda majiko ya kutumia oil chafu

Experience ya kutosha..

Pamoja.
 
Back
Top Bottom