Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tofauti ya kuandika na kutamka!Huo ugonjwa wa R na L ata JPM alikua nao hiyo isiwe sababu ya kumnyima kazi ni jambo la kawaida sana magifuli hakuweza kuatamka neno entrepreneur ila alikua na PhD.
Huo ugonjwa wa R na L ata JPM alikua nao hiyo isiwe sababu ya kumnyima kazi ni jambo la kawaida sana magifuli hakuweza kuatamka neno entrepreneur ila alikua na PhD.
Huyo huyo unae mjua dictator wa zamaniMagifuli ndio nini?
Sawa
Nimeuthamini mchango wako
Magifuli ndio nini?
Huo mshahara kwa muda gani? Mwaka au mwezi?Inategemea na maslahi, kwa mfano kazi ya TZs 15M hata iko italy (mfano tu) unafikiri passport inaweza kuwa kikwazo.sante
Sio kwamba sina kazi kabisa ni na kakitu kadogo ambako nimekuwa nikikafanya kwa mwaka wa 3 sasa kuelekea wa4. Ila naona kuna haja ya kwenda mbele kidogo, niongeze connections, maslahi kiasi fulani na kubadiri mazigira ya kazi kijografia, kijamii na hata kuongeza watu naohusiana nao. (Nikue zaidi)
Yuko wapi sasa hivi [emoji15][emoji2960]Aliwanyoosha nyie mashetani watu weupe mnaokuja kutamba kwenye ardhi ya afrika... kama nyie ni wazuri sana na mna hela sana si mkatambe kwenu huko?! Mashetani nyinyi!
IT'S NOT OVER MOFOS! THERE'S MORE AHEAD TO COME... I PROMISE 😊👍🏾Yuko wapi sasa hivi [emoji15][emoji2960]
Waarabu oyeeeeeeeeeeeeIT'S NOT OVER MOFOS! THERE'S MORE AHEAD TO COME... I PROMISE [emoji4][emoji1474]
M ni ndugu yako lakini 😌☺️☺️☺️Waarabu oyeeeeeeeeeeee
Hivyooo eeeh! Sasa mbona unanifokea ndugu yanguM ni ndugu yako lakini [emoji18][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Nje ondoa kunahitaji teaching licence za nchi husika.Unazo hizo licence?Habari wana jamvi,
Natafuta kazi yoyote ya halali,
Elimu: Bachelor degree (shahada) ya ualimu masomo kiswahili na Geography
Umri: Miaka 28
Eneo nilipo: Dae Es Salaam, Goba
Lugha: kiswahili na English fluently (speaking and writing)
Uzoefu: Nina uzoefu wa mambo mbalimbali ikiwa ni ufundi wa computer na simu, pamoja na matumizi yake (experty level), Excel, word, publisher n.k (microsoft office packages), kufundisha, huduma za miamala (mobile money transfer), KYC applications, kusimamia mauzo ya maduka kawaida na kwa kwa kutumia mifumo mbalimbali kama tally na excel spreadsheets.
Mawasiliano yangu ni
WhatsApp, call or txt messasge 0784267282
Sikujua... nikajua muhindi maana, Wahindi waliwahi kutufanyia ushenzi 😔Hivyooo eeeh! Sasa mbona unanifokea ndugu yangu
Kwa sikuHuo mshahara kwa muda gani? Mwaka au mwezi?
Hii ni mshahara wa part time or full time180,000 kwa mwezi, Karibu PM
Uliandika Kama nimekufuata ujajibu PM hadi leo180,000 kwa mwezi, Karibu PM