Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanza kujitofautisha kunaendana na uwezo,alafu Tambua mshahara huko ni kubwa ila gharama za maisha ni kubwa piaHua nikisoma hivi naishia kusikitika tu
Mkuu usijishushe thamani hivyo aise, kwanini hujawaza kufanya kazi nje ya nchi, watu wa aina yako mfano uingereza wanalipwa kias gani kwa mwaka
106,431,627/- Tsh ambayo ni wastani wa 8,869,302/- Tsh kwa mwezi, na hii ni unaanza tu..bado ukipata uzoefu salary inaongezeka
Endelea kupambana Mkuu, wote tumepita huko. Mishe utapata tu hivyo jichanganye na watu, kabla ya kupata kazi ya profession yako lazima ule msoto kidogo, ujiajiri, uajiriwe kama kibarua n.k., at the end kitakuja kile unataka. Kila la heri.nikipat ata kazi ya elf tano per day sawa tu
asante mkuuEndelea kupambana Mkuu, wote tumepita huko. Mishe utapata tu hivyo jichanganye na watu, kabla ya kupata kazi ya profession yako lazima ule msoto kidogo, ujiajiri, uajiriwe kama kibarua n.k., at the end kitakuja kile unataka. Kila la heri.
nikipat ata kazi ya elf tano per day sawa tu
nafany kaka nipe connection
Amen Allah amjaalie apate kazi
Umepata kazi gani? ya fani yako au nyingine?Dua zako zimetiki kaka nimepat kaz shukran Mungu akupe hitaji la moyo wako✅
Hongera, connection umepata humu JF ?ya fani yangu kbs