Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Habari wakuu!
Mimi Ni mwanafunzi(22) wa mwaka wa Pili chuo Fulani hapa Dar es salaam!
Nasoma Bachelor Degree in Gender and development.
Kutokana na Hali ya maisha kuwa mbaya Sana kwa upande WANGU,
Nilimeamua kuja mbele yenu ndugu zangu, kuomba kazi yoyote ili niwe na chanzo chochote Cha mapato Rakini pia niweze kuendesha maisha Yangu Mana Nina andamwa na Kodi ada nk
Ukosefu wa pesa awamu hii ya muhula wa kwanza ndio imenifanya kutofanya mthiani wa Mwisho (UE) kwa sababu ya kukosa Ada. Hivyo najiandaa na Special September uku nikitafuta Ada ya semester 2
Hivyo naombeni mnisaidie kuniunganisha kwa Namna Yoyote ili na Mimi nianze kupambana.
Uzuri wa ratiba za chuoni kwetu, naweza kujigawa na nikafanya vizuri pande zote mbili.
Aina ya kazi ninazohitaji.
1. Ulinzi(night shift)
2. Stationary
3. Bodaboda na Bajaj kwa mkataba
4.petrol station (night shift)
Na kazi ingine yoyote itakayo patikana nipo Tayari kuifanya.
Uwezo Wangu.
1.Ninaweza kufanya kazi kwa uaminifu Mkubwa
2.Kushirikiana vizuri na Team yangu katika kazi
3.Nina uwezo Mkubwa wa kutatua matatizo (critical problem solving skills)
4.ujuzi wa kompyuta
Naomba Kama Kuna mtu Ana kazi yoyote Ile mawasiliano Yangu 0784312904
Mimi Ni mwanafunzi(22) wa mwaka wa Pili chuo Fulani hapa Dar es salaam!
Nasoma Bachelor Degree in Gender and development.
Kutokana na Hali ya maisha kuwa mbaya Sana kwa upande WANGU,
Nilimeamua kuja mbele yenu ndugu zangu, kuomba kazi yoyote ili niwe na chanzo chochote Cha mapato Rakini pia niweze kuendesha maisha Yangu Mana Nina andamwa na Kodi ada nk
Ukosefu wa pesa awamu hii ya muhula wa kwanza ndio imenifanya kutofanya mthiani wa Mwisho (UE) kwa sababu ya kukosa Ada. Hivyo najiandaa na Special September uku nikitafuta Ada ya semester 2
Hivyo naombeni mnisaidie kuniunganisha kwa Namna Yoyote ili na Mimi nianze kupambana.
Uzuri wa ratiba za chuoni kwetu, naweza kujigawa na nikafanya vizuri pande zote mbili.
Aina ya kazi ninazohitaji.
1. Ulinzi(night shift)
2. Stationary
3. Bodaboda na Bajaj kwa mkataba
4.petrol station (night shift)
Na kazi ingine yoyote itakayo patikana nipo Tayari kuifanya.
Uwezo Wangu.
1.Ninaweza kufanya kazi kwa uaminifu Mkubwa
2.Kushirikiana vizuri na Team yangu katika kazi
3.Nina uwezo Mkubwa wa kutatua matatizo (critical problem solving skills)
4.ujuzi wa kompyuta
Naomba Kama Kuna mtu Ana kazi yoyote Ile mawasiliano Yangu 0784312904