Natafuta kazi za ndani Kigamboni

Natafuta kazi za ndani Kigamboni

Mary97

New Member
Joined
Dec 5, 2021
Posts
3
Reaction score
3
Habari zenu. Naitwa Mary, Miaka 25. Elimu yangu cheti. Naishi karibu na cornerstone (kibada).

Natafuta kazi za ndani za kwenda na kurudk huku Kigamboni. Kupika, kufua, usafi, kutunza watoto naweza.

Mshahara angalau laki, nauli juu yangu. Kama ulipo nauli inazidi 400/= utanisaidia nauli.

Siku za kazi j3 hadi jumamosi angalau j2 nibaki nyumbani mwanangu anione.

Mimi ni mchapakazi sio mvivu na ni msafi na ni muaminifu.

Kwa mawasiliano na maswali binafsi zaidi naomba nitumie ujumbe inbox.

Asanteni.
 
Madam mim npo uku mwongozo Kota za NSSF na NATIONAL HOUSE Kuna anauhitaji wa mdada wa kazi lakini awe anaishi hapohapo
 
Habari zenu. Naitwa Mary, Miaka 25. Elimu yangu cheti. Naishi karibu na cornerstone (kibada).

Natafuta kazi za ndani za kwenda na kurudk huku Kigamboni. Kupika, kufua, usafi, kutunza watoto naweza.

Mshahara angalau laki, nauli juu yangu. Kama ulipo nauli inazidi 400/= utanisaidia nauli.

Siku za kazi j3 hadi jumamosi angalau j2 nibaki nyumbani mwanangu anione.

Mimi ni mchapakazi sio mvivu na ni msafi na ni muaminifu.

Kwa mawasiliano na maswali binafsi zaidi naomba nitumie ujumbe inbox.

Asanteni.
Luv
 
Utapata zaidi ya hitaji lako Mungu akusimamie
 
Back
Top Bottom