RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Ndugu zangu hadi kufikia hatua hii ninapitia kipindi kigumu sana. Kwanza kabisa mimi ni graduate wa Bachelor Degree in Accountancy, nina mwaka tangu nimalize nipo mtaani tu na umri wangu ni mkubwa zaidi ya miaka 30.
Kila nikiapply kazi mbalimbali zinazoendana na career yangu unakuta naenda kwenye interview unakuta nafaulu vizuri ila kazi nakosa, kwasababu watu wanapeana kwa connection. Hata kazi za sensa na postikodi nikaapply lakini sikupata kwa sababu zinatolewa kwa connection na mimi sina hiyo connection.
Kwa mtu yoyote ambaye anaweza kunisaidia kupata kazi popote inayoendana na course niliyosoma kama vile Accountant, Sales & Marketing etc iwe private au government institution hasisite kunijuza.
Kila nikiapply kazi mbalimbali zinazoendana na career yangu unakuta naenda kwenye interview unakuta nafaulu vizuri ila kazi nakosa, kwasababu watu wanapeana kwa connection. Hata kazi za sensa na postikodi nikaapply lakini sikupata kwa sababu zinatolewa kwa connection na mimi sina hiyo connection.
Kwa mtu yoyote ambaye anaweza kunisaidia kupata kazi popote inayoendana na course niliyosoma kama vile Accountant, Sales & Marketing etc iwe private au government institution hasisite kunijuza.