Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ada anatoa wapi mkuu wakati hata kibarua cha kujikimu tu hanaKila lakheri. Pia unavyosubiria ajira fikiria kujiendeleza kimasomo kwa ngazi ya degree.
Atajaribu bodi ya mikopo. Ikikataa kumpa 100% basi itabidi akomae na ajiraAda anatoa wapi mkuu wakati hata kibarua cha kujikimu tu hana
Kazi yeyote mkuu naweza kufanya hata kama ni ngumu ambayo inafundishika naweza kufanyaNini kingine unachoweza kufanya nje ya hiyo diploma
Ok sawa kiongozi nimekuelewa ila kwa sasa ivi nahitaji kufanya kazi niongoze chochote kituKila lakheri. Pia unavyosubiria ajira fikiria kujiendeleza kimasomo kwa ngazi ya degree.
Asante mkuu
Kila la kheri, Natafuta Ajira ukuje huku.Habarini wanajukwaa nipo mbele yenu natufuta kazi yeyote ambayo itaniingizia kipato au kama kuna mtu mwenye connection akaniunga kazi zilipo naomba anisaidie.
Nina diploma ya procurement and logistics location nipo dar es salaam.
Asante mkuuKila lilolo jema ukafanikiwe.
Shukrani sana kiongozi ngoja niapplyKila la kheri, Natafuta Ajira ukuje huku.
Kwa CV inayo meet vigezo vya kazi, nicheki inbox.Shukrani sana kiongozi ngoja niapply
Ok sawa mkuuKwa CV inayo meet vigezo vya kazi, nicheki inbox.
Kuna kupata samaki soko la kivukoni hapo...Kazi yeyote mkuu naweza kufanya hata kama ni ngumu ambayo inafundishika naweza kufanya
Ww upo wapi mkuuKuna kupata samaki soko la kivukoni hapo...
Mwanza.... Visiwani humo kazi ni nyingi mnooo ...za ukuli, ukokozi n.k....Ww upo wapi mkuu
Sawa unahitaji niwe nakuchukulia samaki auMwanza.... Visiwani humo kazi ni nyingi mnooo ...za ukuli, ukokozi n.k....
Hapana nilikuwa nakuelekeza tu sehemu ambazo za kazi ngumungumu ambazo umesema upo tayari kufanya.Sawa unahitaji niwe nakuchukulia samaki au