Natafuta kiben ten

We bibie mimi nilishajiandaa na talaka nikimbilie kua ki ben 10. kumbe unaleta masihara utaleta Majanga ujue aaaash...!!!
 
Kwenye job description ondoa kupika,kufua na kukuogesha isomeke kukukaza tu
 
Heee nlitaka nije pm fasta pia mi ni HB shughuli naimudu vizur tu
Ucje pm ndugu yangu, maana jamaa hawana utani... Wanasaundisha balaaa, kuna mmoja kanichekesha
Eti madam hata ukijisaidia usifrash ntakuja nifrash mwenyewe, ili mradi ukitoka unaniachia mazagazaga

Yaan nimecheka, duuh kweli vijana wanajua kuchangamkia Tulsa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…