Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Hya subiri ujionee ma graduate wetu wa management ndo uneenda kukutana na vijana miaka 23 ni graduate anavaa mlegezo kasuka nywele degree kweli anayo ila atamanaji nani wakati yeye ameshindwa kujimaneji? Pamoja na degree maadili maadili vijana hawana.
Sasa wewe yanakuhusu nini Acha kusema vibaya watoto wa watuHya subiri ujionee ma graduate wetu wa management ndo uneenda kukutana na vijana miaka 23 ni graduate anavaa mlegezo kasuka nywele degree kweli anayo ila atamanaji nani wakati yeye ameshindwa kujimaneji? Pamoja na degree maadili maadili vijana hawana.
Mbona wewe ya mekuhusu? hi ni public platform kuna free expression of one's attitudeSasa wewe yanakuhusu nini Acha kusema vibaya watoto wa watu
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kama lengo lako ni kufanya utafiti, basi majibu utayaona mapema sana. Maana kwa hali ilivyo mtaani, aisee maombi yatakuwa ni mengi sana.
Wapo waombaji wataahidi hata chochote kitu, ili tu wapate hiyo kazi. Ila kama ni kweli nia ya kuajiri ipo, basi namtakia heri huyo atakaye fanikiwa kuwashinda wenzake.
Sasa mkuu ulitaka aweje?Hya subiri ujionee ma graduate wetu wa management ndo uneenda kukutana na vijana miaka 23 ni graduate anavaa mlegezo kasuka nywele degree kweli anayo ila atamanaji nani wakati yeye ameshindwa kujimaneji? Pamoja na degree maadili maadili vijana hawana.
Ahahahah watu mmpo makininTangazo fake, acha kusumbua vijana wa watu kama hauna Nia kusaidia..watume maombi wapi hakuna jina la taasisi/kampuni, address ya hayo maombi yanapoenda au wanatuma kienyeji,unatafuta meneja wa bar??..Kwa nini usitafute mtaani kwenu kienyeji tu,kulko kusumbua watu
Tangazo fake, acha kusumbua vijana wa watu kama hauna Nia kusaidia..watume maombi wapi hakuna jina la taasisi/kampuni, address ya hayo maombi yanapoenda au wanatuma kienyeji,unatafuta meneja wa bar??..Kwa nini usitafute mtaani kwenu kienyeji tu,kulko kusumbua watu
Hakuna tangazo la kazi Kama Hilo mpumbavu wewe..kamwamwambie boss wako aliyekutuma akurudishe shule kwanza ndo uje kuandika tenaHii ni Kwa wanaohitaji. Wewe usiyetaka kusumbuliwa tulia.
Sio ajabu hiyo 550,000/= huipati Kwa mwezi.
Mbuzi wee
Vipi kuhusu Tattoo?Hya subiri ujionee ma graduate wetu wa management ndo uneenda kukutana na vijana miaka 23 ni graduate anavaa mlegezo kasuka nywele degree kweli anayo ila atamanaji nani wakati yeye ameshindwa kujimaneji? Pamoja na degree maadili maadili vijana hawana.