NATAFUTA KIJANA ANAYEJUA COMPUTER

NATAFUTA KIJANA ANAYEJUA COMPUTER

Mr_Plan

Senior Member
Joined
Oct 2, 2021
Posts
140
Reaction score
194
Habari Wana JF,hivi karibuni Tumefungua Online Media ambayo bado ni changa...inayojihusisha na mambo ya Burudani hivo Tunaitaji Kijana anayeweza kuendesha Akaunti zetu za Online kama

1.Youtube

2.Website

3.Instagram page

4.facebook page



Pia Ajue program za Editing angalau kidog...Tutafanya kazi kama Team kwa pamoja kwa kushirikiana...Kuusu Malipo Tutabageni kwakuwa Kampuni ndo inaanza.



Mwenye Utayari anicheki pm.
 
Habari Wana JF,hivi karibuni Tumefungua Online Media ambayo bado ni changa...inayojihusisha na mambo ya Burudani hivo Tunaitaji Kijana anayeweza kuendesha Akaunti zetu za Online kama

1.Youtube

2.Website

3.Instagram page

4.facebook page



Pia Ajue program za Editing angalau kidog...Tutafanya kazi kama Team kwa pamoja kwa kushirikiana...Kuusu Malipo Tutabageni kwakuwa Kampuni ndo inaanza.



Mwenye Utayari anicheki pm.
Naja
 
Habari Wana JF,hivi karibuni Tumefungua Online Media ambayo bado ni changa...inayojihusisha na mambo ya Burudani hivo Tunaitaji Kijana anayeweza kuendesha Akaunti zetu za Online kama

1.Youtube

2.Website

3.Instagram page

4.facebook page



Pia Ajue program za Editing angalau kidog...Tutafanya kazi kama Team kwa pamoja kwa kushirikiana...Kuusu Malipo Tutabageni kwakuwa Kampuni ndo inaanza.



Mwenye Utayari anicheki pm.
Nicheck kwa 0715168802

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom