Mwafrika mmoja
Member
- Mar 15, 2019
- 64
- 178
Nyama ya kuku Mkuu !!!NYAMA YA AINA GANI MKUU.... ng'ombe, kuku, mbuzi , Usikute ni ile mishikaki ya 100 mia?
Nyama ya kuku Mkuu !!!
ooh safi sana, kijana wangu yupo mkoani ingekuwa Dar ingemfaaNyama ya kuku Mkuu !!!
Hata kama ya 100 mia mkuu shida ipo wapi kama kashaweka dau hapo...NYAMA YA AINA GANI MKUU.... ng'ombe, kuku, mbuzi , Usikute ni ile mishikaki ya 100 mia?
sio kwa ubaya ila nilisikia story kuhusu hiyo mishkaki nikasikitika sanaHata kama ya 100 mia mkuu shida ipo wapi kama kashaweka dau hapo...
Dau lako linaingia no matter what...πππ
Hebu tupe hiyo story kwa sababu mi mlaji wa hizo mishikakisio kwa ubaya ila nilisikia story kuhusu hiyo mishkaki nikasikitika sana
Hapo kwel kazi ipo?NYAMA YA AINA GANI MKUU.... ng'ombe, kuku, mbuzi , Usikute ni ile mishikaki ya 100 mia?
USIKURUPUKE KAMA KUKU ALIYEKATWA SHINGO, MARA YA KWANZA WAKATI ANAANDIKA POST ALIWA HAJAAAINISHA NI NYAMA YA AINA GANI, NDIO IKABIDI AFANYE EDITINGHapo kwel kazi ipo?
Amekuandikia kabisa mwenye uwezo wa kuchoma kuku
Lakini bado tu unauliza nyama gan hivi ni kwel?
Wanatumia nyama za vibudu mixer kuchanganya na za mbwa au pakaHebu tupe hiyo story kwa sababu mi mlaji wa hizo mishikaki
Kama ni hizo hazina madhara ngoja niendelee kulaWanatumia nyama za vibudu mixer kuchanganya na za mbwa au paka