Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nipo Mwanza, ila nina rafikiangu yupo Dar anaujuzi huo ninaimani hatumii JF je, naweza kukuunganisha nae!?Habari,
Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam.
Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi.
Asanteni.
Nipatie nambaMi nipo Mwanza, ila nina rafikiangu yupo Dar anaujuzi huo ninaimani hatumii JF je, naweza kukuunganisha nae!?
Nina mtu yupo kigoma, ni experienced kabsaaa amefanya na mpak sasa anafanya Kzi veta day worker kwa sasa ana kama miaka 4 anafanya kazi hiyo..Habari,
Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam.
Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi.
Asanteni.
Vipi kiongozi ushapata?Habari,
Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam.
Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi.
Asanteni.
Mimi nataka ukimaliza project yako uniuzie mkuuKwa fundi anayejielewa na mchapakazi Nina mashine MPYA kabisa, moja ya kuchomea (welding machine) na mashine ya kukatia vyuma (grinder machine) , Baada ya project yangu kukamilika namkaribisha Tujadiliane namna tunaweza kutumia hizi mashine zimnufaishe yeye kama fundi na Mimi kama mmiliki WA mashine. Aliye serious tafadhali tuwasiliane
Upo tiyari kunipa kiasi gani mkuu. Mashine bado ni mpyaMimi nataka ukimaliza project yako uniuzie mkuu
Ni maelewano mkuuUpo tiyari kunipa kiasi gani mkuu. Mashine bado ni mpya
Ulishapata fundi? Kama bado ni pm tuyajenge mimi ni fundiHabari,
Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam.
Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi.
Asanteni.