Muislaam
Senior Member
- Jul 29, 2013
- 129
- 43
Habari wana JF, naishi dar, nilikuwa nina mpango wa kuanzisha biashara ndogondogo.
Nilikuwa nahitaji kijana yeyote aliye Tayari tushirikiane pamoja katika hili.
Tutagawana Faida sawa na kushirkina kwa kila kitu.
Awe; - mwaminifu
- Muwazi
-Mkweli
-Tabia nzuri
-Awe na elimu kuanzia kidato ha nne
Anayependa kufanya biashara!
Walio Tayari karibuni Tushirikiane!!
UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI DHAIFU!
Mawasiliano yangu; 0759601820
0714306015
Nilikuwa nahitaji kijana yeyote aliye Tayari tushirikiane pamoja katika hili.
Tutagawana Faida sawa na kushirkina kwa kila kitu.
Awe; - mwaminifu
- Muwazi
-Mkweli
-Tabia nzuri
-Awe na elimu kuanzia kidato ha nne
Anayependa kufanya biashara!
Walio Tayari karibuni Tushirikiane!!
UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI DHAIFU!
Mawasiliano yangu; 0759601820
0714306015