kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,491
LABDA AKUTUNZIE KICHAWIwaungwana, kama mnavyojua swala la ajira limesha kuwa tete kwa vijana walio wengi na kupelekea msongo wa mawazo kwa wengi wao.
ili kumnusuru huyu bwana mdogo ambaye anashindwa kutwa humu kupost mambo yasiyo eleweka nimeamua kumtafutia kibarua
hivyo basi Beira Baby Boy weka mawasiliano yako hapa au unaweza kunichek PM nikupe kazi hii ya kukata nyasi, kumlisha pumba ng'ombe wangu wa maziwa na kazi nyingine kama usafi wa zizi n.k ili upate kitu cha kukuweka busy.
povu ruksa.
wahi kabla sijabadilisha uamuzi.
UTALIPWA VIZURI.
hahahahaah
Kapigwa shoti ya Umeme mkali wa Jfatakuwana kamati yake huko kuangalia ni namna gani ya ku revenge make baad ya uzi huu kijana alitoweka kabisa na hata kasi ya kupandisha mada hapa jf imepungua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha... Joseverest pia ni mchungaji mzuri wa ng'ombe
Ulipotelea wapi mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mjini Dar mkuuUlipotelea wapi mkuu
Apa chit chat. ...Hatari unapo sema ng'ombe wa maziwa unamaana ipi... Ila mkuu izi kind of dharau sizisapoti,its not fair,kama unakerwa na muda wake umu bora utoe report kwa mods,kuliko kudhalilisha watu mkuu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]uwiiiihHahahaha... Joseverest pia ni mchungaji mzuri wa ng'ombe