Natafuta kijana wa kutunza ng'ombe wangu wa maziwa. Beira Baby Boy atanifaa.

L
LABDA AKUTUNZIE KICHAWI
 
L

LABDA AKUTUNZIE KICHAWI
atakuwana kamati yake huko kuangalia ni namna gani ya ku revenge make baad ya uzi huu kijana alitoweka kabisa na hata kasi ya kupandisha mada hapa jf imepungua
 
atakuwana kamati yake huko kuangalia ni namna gani ya ku revenge make baad ya uzi huu kijana alitoweka kabisa na hata kasi ya kupandisha mada hapa jf imepungua
Kapigwa shoti ya Umeme mkali wa Jf
 
Hatari unapo sema ng'ombe wa maziwa unamaana ipi... Ila mkuu izi kind of dharau sizisapoti,its not fair,kama unakerwa na muda wake umu bora utoe report kwa mods,kuliko kudhalilisha watu mkuu
Apa chit chat. ...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwee
 
Kuna mwengine anaitwa ndege John asee,Nahisi uyu chalii anaweza sana Kumchotea manjota/manjox/maji uyo Punda wako wa maziwa..Alaf ndege huwapenda sana ng'ombe hasa wa maziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…