Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu

Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu

Delc

Member
Joined
May 26, 2023
Posts
34
Reaction score
51
Hello guys.

Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu awe na zifa hizi:

1. Mwenye cheti cha Ado na umiliki wa duka la dawa.

2. Awe tayari kufanya kazi kwa bidii.

Eneo ni Dar es salaam- Kigamboni- Kisarawe 2.

NB: Kuhusu mshahara tutaelewana akijitokeza.

Asanteni.
 
Hello guys.
Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu awe na zifa hizi.
1. Mwenye cheti cha Ado na umiliki wa duka la dawa.
2. Awe tayari kufanya kazi kwa bidii.
Eneo ni Dar es salaam- kigamboni-kisarawe 2.
Nb. Kuhusu mshahara tutaelewana akijitokeza.
Asanteni.
Wek namb yako
 
Hello guys.

Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu awe na zifa hizi:

1. Mwenye cheti cha Ado na umiliki wa duka la dawa...
Mnatafuta watanyakazi wa maduka ya wanyama ikiwa mtu Hana uzoefu wowote
 
Weka hapa kiwango cha mshahara na masharti yote yawe wazi
 
Back
Top Bottom