Wek namb yakoHello guys.
Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu awe na zifa hizi.
1. Mwenye cheti cha Ado na umiliki wa duka la dawa.
2. Awe tayari kufanya kazi kwa bidii.
Eneo ni Dar es salaam- kigamboni-kisarawe 2.
Nb. Kuhusu mshahara tutaelewana akijitokeza.
Asanteni.
Nimeona nisiweke namba wakuu kwa sababu binafsi. Naomba kama uko tayari au kuna kijana wako aje inbox tutaongea vizuri zaidi.mkuu samahani mbona mawasiliano hujaweka?
nakuja pm mkuuNimeona nisiweke namba wakuu kwa sababu binafsi. Naomba kama uko tayari au kuna kijana wako aje inbox tutaongea vizuri zaidi.
Mnatafuta watanyakazi wa maduka ya wanyama ikiwa mtu Hana uzoefu wowoteHello guys.
Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu awe na zifa hizi:
1. Mwenye cheti cha Ado na umiliki wa duka la dawa...