Natafuta kijana wa kuuza duka la jumla

Natafuta kijana wa kuuza duka la jumla

Sifa za mwombaji

1. Kijana anayejituma
2. Anayejua kuandika na kusoma
3. Mkazi wa kigamboni
4. Atakayeweza kufanya kazi kwa siku saba za wiki
5. Mwenye mdhamini aliyemkazi wa kigamboni na awe na mali isiyohamishika
6. Mwenye kadi ya NIDA

TUWASILIANE HAPA KWANZA*
Siku 7 ndani ya wiki si mchezooo. Mpunguzie ziwe 6 weka na mshahara uonekane
 
Sifa za mwombaji

1. Kijana anayejituma
2. Anayejua kuandika na kusoma
3. Mkazi wa kigamboni
4. Atakayeweza kufanya kazi kwa siku saba za wiki
5. Mwenye mdhamini aliyemkazi wa kigamboni na awe na mali isiyohamishika
6. Mwenye kitambulisho cha NIDA

TUWASILIANE HAPA KWANZA*
Kuna yule jamaa anaitwa steve kama sikosei hebu pitia pitia humu post zake uweze kumsaidia kama atakidhi vigezo.
 
Sifa za mwombaji

1. Kijana anayejituma
2. Anayejua kuandika na kusoma
3. Mkazi wa kigamboni
4. Atakayeweza kufanya kazi kwa siku saba za wiki
5. Mwenye mdhamini aliyemkazi wa kigamboni na awe na mali isiyohamishika
6. Mwenye kitambulisho cha NIDA

TUWASILIANE HAPA KWANZA*
0620558696 hii ni namba yake amewahi kuipost humu Steve96 mcheki uongee nae kama utaweza kumsaidia mana tumejarabu kumtag ila kwa hali aliyo nayo anaweza asiwe hata na bundle la kuingilia jf.
 
Back
Top Bottom