Mbushuu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 2,175
- 3,398
Pamoja mkuu msaidie kijana ila chukua na tahadhari zote za msingi si unajua tena mitandao si salama sana.Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja mkuu msaidie kijana ila chukua na tahadhari zote za msingi si unajua tena mitandao si salama sana.Asante
Yeah, huwa nataman sana nimshike mkono yule jamaa ila ipo siku.
shinda moyo mkuu[emoji1]Au lazima aje dem
Sifa za mwombaji
1. Kijana anayejituma
2. Anayejua kuandika na kusoma
3. Mkazi wa kigamboni
4. Atakayeweza kufanya kazi kwa siku saba za wiki
5. Mwenye mdhamini aliyemkazi wa kigamboni na awe na mali isiyohamishika
6. Mwenye kitambulisho cha NIDA
TUWASILIANE HAPA KWANZA*
Huwez jua mkuu mana Kuna vitu wanaume tunawez kuwasaidia wanawake hata baba zetu hatuwezi kuwasaidia to the extentshinda moyo mkuu[emoji1]
✔️Shart la nne linamfanya mfanyakazi awe mfungwa
Mpe Siku moja ya kufua nguo zake na kunyoa kichwa chake,atakaa dukani rafu mchafu mchafu nani atasogea kununua muhudumu mchafu? Biashara yako si italala sasa.Sifa za mwombaji
1. Kijana anayejituma
2. Anayejua kuandika na kusoma
3. Mkazi wa kigamboni
4. Atakayeweza kufanya kazi kwa siku saba za wiki
5. Mwenye mdhamini aliyemkazi wa kigamboni na awe na mali isiyohamishika
6. Mwenye kitambulisho cha NIDA
TUWASILIANE HAPA KWANZA*
Asante kwa ushauri mzuri na nimeupokeaTatizo ni siku 7 za wiki, mpe hata siku 1 ya kupumzika ili aipende kazi yak
nimeshapunguza wadauSiku 7 ndani ya wiki si mchezooo. Mpunguzie ziwe 6 weka na mshahara uonekane
Safi sananimeshapunguza wadau
nimeshapunguza wadau