PHILLIGONA
Member
- Jul 12, 2023
- 17
- 24
Siku 7 ndani ya wiki si mchezooo. Mpunguzie ziwe 6 weka na mshahara uonekaneSifa za mwombaji
1. Kijana anayejituma
2. Anayejua kuandika na kusoma
3. Mkazi wa kigamboni
4. Atakayeweza kufanya kazi kwa siku saba za wiki
5. Mwenye mdhamini aliyemkazi wa kigamboni na awe na mali isiyohamishika
6. Mwenye kadi ya NIDA
TUWASILIANE HAPA KWANZA*
waishi kigamboni weye? Njoo escrow pub hapa tusherekee simba dayNingeshapata kazi ila Jpili siwezi kuacha kwenda kanisani
Hapana nipo Mbezi Beach hukuwaishi kigamboni weye? Njoo escrow pub hapa tusherekee simba day
basi sawa.Hapana nipo Mbezi Beach huku
Uko nije hapo? Mm nakaa mgeninaniwaishi kigamboni weye? Njoo escrow pub hapa tusherekee simba day
Au lazima aje dembasi sawa.
Napiga lanchi home then midamida kwenye saa kumi nitaibuka pale huwa napapenda sanaUko nije hapo? Mm nakaa mgeninani
hahaaaa tuchekiane badae bossAu lazima aje dem
Kuna yule jamaa anaitwa steve kama sikosei hebu pitia pitia humu post zake uweze kumsaidia kama atakidhi vigezo.Sifa za mwombaji
1. Kijana anayejituma
2. Anayejua kuandika na kusoma
3. Mkazi wa kigamboni
4. Atakayeweza kufanya kazi kwa siku saba za wiki
5. Mwenye mdhamini aliyemkazi wa kigamboni na awe na mali isiyohamishika
6. Mwenye kitambulisho cha NIDA
TUWASILIANE HAPA KWANZA*
Yeah, huwa nataman sana nimshike mkono yule jamaa ila ipo siku.Steve 96
0620558696 hii ni namba yake amewahi kuipost humu Steve96 mcheki uongee nae kama utaweza kumsaidia mana tumejarabu kumtag ila kwa hali aliyo nayo anaweza asiwe hata na bundle la kuingilia jf.Sifa za mwombaji
1. Kijana anayejituma
2. Anayejua kuandika na kusoma
3. Mkazi wa kigamboni
4. Atakayeweza kufanya kazi kwa siku saba za wiki
5. Mwenye mdhamini aliyemkazi wa kigamboni na awe na mali isiyohamishika
6. Mwenye kitambulisho cha NIDA
TUWASILIANE HAPA KWANZA*
Asante kwa ushauri mzuriTatizo ni siku 7 za wiki, mpe hata siku 1 ya kupumzika ili aipende kazi yake.