Natafuta kiwanja Dodoma maeneo ya Kisasa , Ipagala au Nzuguni

Natafuta kiwanja Dodoma maeneo ya Kisasa , Ipagala au Nzuguni

Yaleyale

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
1,793
Reaction score
2,401
Salaam wadau. Natafuta Kiwanja Dodoma maeneo ya Kisasa, Ipagala au Nzuguni. Kiwe kimepimwa na kiwe na hati kwa Matumizi ya makazi.
aksanteni.
 
Fika ofisi za jiji au manispaa utapata huduma
 
Size gani na bei gani?
Eneo lilipo: Nzuguni kwa masista wakatoliki
Ujazo: 723 Sqm
Hadhi yake: limepimwa na lina hati
Bei: 9M maongezi yapo pia una ruhusiwa kulipia kwa awamu
Maelezo ya ziada: umeme, maji, barabara ya uhakika na huduma nyingine za kijamii zipo karibu kama stand ya mabasi, shule za msingi na sekondari nk

Karibu boss
 
Shilingi ngapi mkuu?
Eneo lilipo: Nzuguni kwa masista wakatoliki
Ujazo: 723 Sqm
Hadhi yake: limepimwa na lina hati
Bei: 9M maongezi yapo pia una ruhusiwa kulipia kwa awamu
Maelezo ya ziada: umeme, maji, barabara ya uhakika na huduma nyingine za kijamii zipo karibu kama stand ya mabasi, shule za msingi na sekondari nk

Karibu boss
 
Back
Top Bottom