Natafuta kiwanja Kivule mpaka Msongola. Bajeti ni milioni 5 na kisipungue sqm 300

Natafuta kiwanja Kivule mpaka Msongola. Bajeti ni milioni 5 na kisipungue sqm 300

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Habari wadau.

Natafuta kiwanja maeneo ya Kitunda Kivule mpaka maeneo ya Msongola.

Bajeti yangu ni milioni 5.

Ukubwa wa Kiwanja kisipungue sqm 300. Kama kikiwa kikubwa zaidi nitashukuru.

Kama unauza kiwanja maeneo hayo karibu unipe sifa zake.

Pesa ipo mfuko wa shati
 
Habari wadau.

Natafuta kiwanja maeneo ya kitunda kivule mpaka maeneo ya msongola.

Bajeti yangu ni milioni 5.

Ukubwa wa Kiwanja kisipungue sqm 300. Kama kikiwa kikubwa zaidi nitashukuru.

Kama unauza kiwanja maeneo hayo karibu unipe sifa zake.

Pesa ipo mfuko wa shati
Majohe panakufaa?
 
Habari wadau.

Natafuta kiwanja maeneo ya Kitunda Kivule mpaka maeneo ya Msongola.

Bajeti yangu ni milioni 5.

Ukubwa wa Kiwanja kisipungue sqm 300. Kama kikiwa kikubwa zaidi nitashukuru.

Kama unauza kiwanja maeneo hayo karibu unipe sifa zake.

Pesa ipo mfuko wa shati
Nicheki kuna kiwanja changu hapo Kivule jirani na kerezange sekondari kina sqm 1600 means meter 40 X40M, bei iko Safi kabisa nicheki inbox
 
Back
Top Bottom