Kwa beduiGoba kipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa beduiGoba kipo
Bei gani?Kwa bedui
Ml 4Bei gani?
Kina ukubwa ganiMl 4
Nasubiri majibu na Mimi.Kina ukubwa gani
20*20Nasubiri majibu na Mimi.
Ongeza kidogo iwe milion 4Nina Offer ya 3m niambie nitapata kiwanja cha ukubwa gani maeneo hayo.
Kwa waiopajua maeneo hayo yako mbezi maeneo ya Goba.
Nawasilisha
0714309012Namie natafuta wakuu, nina 5m cash.
Maeneo: upande wa kuanzia mwenge kuelekea Tegeta/Goba/Salasala mpaka Bunju
Karibu0714309012
NINACHO goba mpakani A
Kituo NI Kwa bedui
KIWANJA hakiko mbali na STENDI ya daradara
Ngoja niendelee kujipanga na mimi niushtue huu umaskini.20*20
Unaweza nipigia pia 0714309012
Unaweza kuja kukiona na Kwa makubaliano unaweza pia lipa taratibu ukimaliza tunakabidhiana kabisaaNgoja niendelee kujipanga na mimi niushtue huu umaskini.
Niliwahi kuuliza nikaambiwa vinaanzia 5M hadi 8M nikakaa kwa kutulia kwanza
Ahsante mkuu, ila ngoja nimpishe huyo mwingine kwanza achangamkie.Unaweza kuja kukiona na Kwa makubaliano unaweza pia lipa taratibu ukimaliza tunakabidhiana kabisaa
Maana hela za siku hizi hazikai
Hata hiki changu nilikuwa NAUZA ml 6
Nimekishusha tuu baada ya Mimi kununua kingine
Sawa,karibuAhsante mkuu, ila ngoja nimpishe huyo mwingine kwanza achangamkie.
Hela tunazitafuta kwa udi na uvumba kutoka vyanzo visivyo vya uhakika, kwa hiyo maamuzi tunayafanya kwa uangalifu mkubwa.
Hiyo ya kulipa kidogo kidogo ni nzuri endapo mtu ana chanzo cha uhakika
Kwani kila mtu lazima ajenge? Nyie majobless mbona na haraka na maisha hivi?Nina Offer ya 3m niambie nitapata kiwanja cha ukubwa gani maeneo hayo.
Kwa waiopajua maeneo hayo yako mbezi maeneo ya Goba.
Nawasilisha
Mkuu kina ukubwa gani. Kama vipi ni pm namba yako nikuchekOngeza kidogo iwe milion 4
Kipo Kwa bedui
0714309012Mkuu kina ukubwa gani. Kama vipi ni pm namba yako nikuchek
Ukubwa NI 20 Kwa 200714309012