Mbona inawezekanaTani 21 ni gunia 200. Gunia 200 kwa hali ilivyokuwa huwezi kuzipata kwenye ekari 9 . Acha upumbavu na kuona watu wajinga humu wewe
TAPELI MKUBWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona inawezekanaTani 21 ni gunia 200. Gunia 200 kwa hali ilivyokuwa huwezi kuzipata kwenye ekari 9 . Acha upumbavu na kuona watu wajinga humu wewe
TAPELI MKUBWA
Muhimu tu uwe mwaminifu, na usilete ujanja ujanja pale wapambanaji watakapoanza kukutafuta kwa ajili ya huo uwekezaji.Wadau mwaka jana nililima ekari 9 tu huku rukwa nikapata Tani 21 na kulingana na Hali ya mvua ilivyokuwa na bei za mbolea nahisi ningepata zaidi mwaka huu nimeandaa ekari 50 kama Kuna mzamiaji Kwa msimu huu unaoanza novemba anitafute tuunganishe nguvu
Inawezekana mimi nililima ekari 11 tena shamba jipya nikapata kunia 288.Tani 21 ni gunia 200. Gunia 200 kwa hali ilivyokuwa huwezi kuzipata kwenye ekari 9 . Acha upumbavu na kuona watu wajinga humu wewe
TAPELI MKUBWA
Huu ndio ujinga wa Matanzania! Kwani haki ya hewa ilikuwa mbaya sehemu zote? Kuna sehemu watu walivuna vizuri sana! Usimbeze hugo mdau kwa Rukwa na Katavi inawezekana sana!Mpumbavu huyu, kwa msimu uliopita ulivyokuwa unawezaje kupata gunia 200 kwenye ekari 9?? Yaani kila ekari gunia 20?? Mpumbavu sana huyu
Mkuu acha na hawa watu! Kuna majitu ya ajabu ajabu sana humu!Inawezekana mimi nililima ekari 11 tena shamba jipya nikapata kunia 288.
Hawajawahi kulima hata mchicha afu wanabisha,nshahuhudia heka Moja ikitoa gunia mpk25 ..majitu ya jf mengine mabishi Sanaa!Mkuu acha na hawa watu! Kuna majitu ya ajabu ajabu sana humu!
EKARI 1 inaweza kuzalisha hadi gunia 40 kutegemea na mbegu , udhibiti magugu , kuweka mbolea kwa usahihi na kwa wakati na zaidi ukizingatia msimu vema.TAPELI huyo. Msimu uliopita huwezi kutapa gunia 200 za mahindi kwenye ekari 9 . Kila ekari gunia 20?? Kilimo Cha wapi hiki Cha mahindi
Ulishawahi kulima huko alipotaja?TAPELI huyo. Msimu uliopita huwezi kutapa gunia 200 za mahindi kwenye ekari 9 . Kila ekari gunia 20?? Kilimo Cha wapi hiki Cha mahindi
Jukwaa la wastaarabu limevamiwa na bongo fleva.Tapeli babaako na mamaako tapeli shangazi Yako na bibi Yako mbwa wewe k ,ya bibi yako
Wakati mwingine tujaribu kujifunza,nenda mwambao wa ziwa rukwa anzia kilidai hadi mtowisa ukitunza heka moja isipotoa gunia 20-30 itakuwa maajabu tatizo watu mmeshazoea kupata gunia 5 ukiambiwa habari za gunia 30 unahisi unataka kupigwaUvune gunia 30 kwa heka kwa hiki kilimo cha kutegemea mvua? Hata Japan hawavuni hizo gunia 30@heka. Kama ni hivyo kila mtu si angeenda kulima mahindi? Kama unaweza kuvuna gunia 30 kwa heka, huyo muhuni si aende bank ya kilimo akakope badala ya kuleta utapeli wa kitoto hapa kutaka mshirika?
Unaharibu Uzi wako, achana na wapiga kelele mtu akiwa na nia atakufuata pmTapeli babaako na mamaako tapeli shangazi Yako na bibi Yako mbwa wewe k ,ya bibi yako
Ukishaona mtu anajibu hivi tu ujue hapa hakuna mkulima, mfanyabiashara wala nini. WEWE NI TAPELITapeli babaako na mamaako tapeli shangazi Yako na bibi Yako mbwa wewe k ,ya bibi yako
Wajinga unafikiri wanaishaga? Pamoja na tahadhari bado kuna watu watalizwa!Unaharibu Uzi wako, achana na wapiga kelele mtu akiwa na nia atakufuata pm
Ivi mkuu unajua robo eka ni meter 35 kwa 17.5?Maximum ekari moja umefeli sana isipungue gunia 15 .
Nmewahi kulima robo eka nikaambulia gunia 7,watu wengi ni wabishi humu kwa sa babu hamna taarifa sahihi kuhusu kilimo.