Natafuta kombinesheni Nina ekari 50 za mashamba Bora kabisa ya mahindi Rukwa

Muhimu tu uwe mwaminifu, na usilete ujanja ujanja pale wapambanaji watakapoanza kukutafuta kwa ajili ya huo uwekezaji.

Halafu uje utolee maelezo ya hizo hekari ulizolima vs hizo tani ulizovuna! Je, zina uhalisia? Au unataka kuwageuza fursa watu wenye tamaa ya mafanikio?
 
Reactions: EEX
Mimi nipeleke kwenye wale mbuzi kwenye msitu wa ajabu nikawachukue
 
Mpumbavu huyu, kwa msimu uliopita ulivyokuwa unawezaje kupata gunia 200 kwenye ekari 9?? Yaani kila ekari gunia 20?? Mpumbavu sana huyu
Huu ndio ujinga wa Matanzania! Kwani haki ya hewa ilikuwa mbaya sehemu zote? Kuna sehemu watu walivuna vizuri sana! Usimbeze hugo mdau kwa Rukwa na Katavi inawezekana sana!
 
TAPELI huyo. Msimu uliopita huwezi kutapa gunia 200 za mahindi kwenye ekari 9 . Kila ekari gunia 20?? Kilimo Cha wapi hiki Cha mahindi
EKARI 1 inaweza kuzalisha hadi gunia 40 kutegemea na mbegu , udhibiti magugu , kuweka mbolea kwa usahihi na kwa wakati na zaidi ukizingatia msimu vema.
Acheni kuhisi mnadanganywa in everything

Kuna watu robo EKARI wanavuna gunia 6 za debe 5 sasa piga hesabu hapa

6x5 =debe 30 sasa chukua debe 30 x9 = debe 270
Yaani hapo tumepiga robo heka ziwe 9 majibu yanakuja debe 270
270÷5=Gunia 54 sasa zidisha robo heka 9x4

54x4= gunia 216

Hiyo 4 nimemaanisha tuna robo 4 kwenye EKARI 1 so ipo sawa
Kwa kifupi ardhi zimetofautiana sana mfano , ardhi ya Kigoma maeneo ya Kibondo hata uweke mbolea EKARI 1 ni ngumu ikupe gunia 15 wakati huo hizo gunia 15 kwa EKARI huko Tarime baadhi ya maeneo unawezapata hata kama hujaweka mbolea

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wakati mwingine tujaribu kujifunza,nenda mwambao wa ziwa rukwa anzia kilidai hadi mtowisa ukitunza heka moja isipotoa gunia 20-30 itakuwa maajabu tatizo watu mmeshazoea kupata gunia 5 ukiambiwa habari za gunia 30 unahisi unataka kupigwa
 
Tapeli babaako na mamaako tapeli shangazi Yako na bibi Yako mbwa wewe k ,ya bibi yako
Ukishaona mtu anajibu hivi tu ujue hapa hakuna mkulima, mfanyabiashara wala nini. WEWE NI TAPELI
 
Maximum ekari moja umefeli sana isipungue gunia 15 .
Nmewahi kulima robo eka nikaambulia gunia 7,watu wengi ni wabishi humu kwa sa babu hamna taarifa sahihi kuhusu kilimo.
 
Maximum ekari moja umefeli sana isipungue gunia 15 .
Nmewahi kulima robo eka nikaambulia gunia 7,watu wengi ni wabishi humu kwa sa babu hamna taarifa sahihi kuhusu kilimo.
Ivi mkuu unajua robo eka ni meter 35 kwa 17.5?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…