Natafuta kufanya VOLUNTARY JOB!

Natafuta kufanya VOLUNTARY JOB!

Mkuu, ahsante kwa sala na maombi kwani hakika Mungu ni Mkuu pia ni Mwema ninauhakika atanitendea mwujiza iko siku. Ibada ni muhimu nami pia najiombea na kuombea wenzangu kama mimi
 
Pole sana. My brother aligraduate na miaka 2 alikaa home na alipofanyiwa interview na kupata barua ya kuitwa job, siku anaripot anakuta kazi alishapewa mwingine kwa kimemo! Alikaribia kuwa frustrated bt after some prayers with faith, alipata kazi ambayo wala hakuisomea tena akiwa kwenye daladala. So usikate tamaa, voluntering is gud inakupa experience ktk mambo mbalimbali ya maofisini. Ubadili jina pia..mkonomtupu? Utakuwa mtupu kweli bhana.,.! Nakutakia mafanikio...stay blesed
 
Ujue watu wengine humu ndani hamjui hata muandike nini, mko frastrated tu! mwenzenu kusoma ndo imekuwa nongwa? nyinyi wengine mbona mmegraduate tangu 2009 hadi leo bado mko mtaani tu? si bora mwenzenu kaongeza elimu? mnapenda kukatisha watu tamaa wakati nyinyi wenyewe mnapenda muonewe uruma.

Kaka wala ucjari, hata mimi niliunganisha hivyo hivyo, toka chuo nikafanya CPA na MSc (A&F). nimekaa mtahani kwa muda mana lazima kwanza uzoee sarakasi za mtaani, but badaye nimepata internation org moja inayotambua shule na ambayo haigopi watu competent, nimekula shavu zuru saaaan! ineterview unafanyiwa na mzungu. Wabongo majungu tu, wanaficha weknes zao tu!

Kaka pigana, shida huwa hazidumu, utatoka tu!
You are very smart mkuu.
 
Back
Top Bottom