Natafuta like minded people....(technology, businesses.....n.k)

Pomoja sana. Mm nilishaanza baadhi ya project na zingine ziko on the way

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Technology is not all about IT boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio mwana IT ila nina business idea yangu ya kilimo ila ime-base kwenye IT nimeichambua vyema niliiandika kushindania pesa ipo vizuri tunaweza fanya kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What is it all about??
Na unaposema technology unamaana ya kitu gani zaidi??!

Sent using Jamii Forums mobile app
Technology ni broad term but some people claim that technology is all about IT but not true IT is just a small part of technology

Nimekukosoa hapo uliposema kwamba kama business aihusu internet basi uwezi fanya biashara na uyo mtu, inaweza internet isihusike na ikawa technology, inamaana ili iwe tech sio lazima ihisishe internet boss.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mim nin
mm nna wazo linpaswa kutengenezewa mobile app nichek 0744731108
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…