Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Pomoja sana. Mm nilishaanza baadhi ya project na zingine ziko on the wayMimi ni msichana, nina umri wa miaka 22, nimemaliza chuo mwaka huu. Chuoni nilikua nasomea mambo ya IT (Information Technology). Kwa sasa nipo Dar es Salaam.
Napenda ujasiriamali kwa mfumo wa technology........
Natamani sana nikutane na watu wenye background tofauti ili pamoja tufanye kazi tufike malengo fulani......
Kwa mtu yeyote atakae vutiwa na huu uzi.....naomba comment hapo chini......
“Pamoja tutaenda mbali, peke yako utaenda haraka”
Sent using Jamii Forums mobile app
Project gani hizonaomba tuwasiliane mimi na rafiki yangu tunaproject tumeanzisha inausiana na ishu za it kama utakuwa tayari karibu tungane
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii umeandika kihisia nahisi ulikuwa na chamaana cha kumpa mtoa madaSawa ukifikisha miaka thelathini utanikumbuka, kwasasa bado unahisia za kishule shule, hujui life reality. Ukitaka kujua hilo jione tu unavyohisi we in msomi kumbe wasomi wako mtaani wanamaisha yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Technology is not all about IT bossTechnology ndio kitu ambacho kitaenda kutawala dunia in near future kwenye kila kitu hvo kama una wazo la kibiashara lenye technology ndani yake basi in future uta survive na co kuwa slave, binafsi Nina mawazo meng na baadhi nishaanza kuyafanyia kazi kama kweli upo interested nicheki ila kama ni Uzi tu kama Uzi mwngne then tuendelea kutupia comment za kujiliwaza. " if you business is not on the internet you will be out of business" Briget
Sent using Jamii Forums mobile app
What is it all about??
Technology ni broad term but some people claim that technology is all about IT but not true IT is just a small part of technologyWhat is it all about??
Na unaposema technology unamaana ya kitu gani zaidi??!
Sent using Jamii Forums mobile app
Like minded PeoplePomoja sana. Mm nilishaanza baadhi ya project na zingine ziko on the way
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nipo teari but Niko chuo nasomea I.C.T mwaka wa kwanza.PM Me
mm nna wazo linpaswa kutengenezewa mobile app nichek 0744731108Mimi ni msichana, nina umri wa miaka 22, nimemaliza chuo mwaka huu. Chuoni nilikua nasomea mambo ya IT (Information Technology). Kwa sasa nipo Dar es Salaam.
Napenda ujasiriamali kwa mfumo wa technology........
Natamani sana nikutane na watu wenye background tofauti ili pamoja tufanye kazi tufike malengo fulani......
Kwa mtu yeyote atakae vutiwa na huu uzi.....naomba comment hapo chini......
“Pamoja tutaenda mbali, peke yako utaenda haraka”
Link ya kujiunga na whatsApp group hii hapa chini
(group litakua diactivated baada ya masaa 24).
Like minded People
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie hapa nshakomenti.
Niko ready, ila sijasomea IT, ni Daktari