Natafuta like minded people....(technology, businesses.....n.k)

Mkuu ratiba ilishawekwa kwa group na members tulikubaliana discussion zinafanyika kuanzia saa mbili usiku kama conversations zote hizo utakua hukuziona that's means haukua seriouz!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ratiba ilishawekwa kwa group na members tulikubaliana discussion zinafanyika kuanzia saa mbili usiku kama conversations zote hizo utakua hukuziona that's means haukua seriouz!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi nishasahau hii kitu hakuna ratiba iliyowekwa huyu binti nae kama hana akili kisa mtu haujaonekana siku moja anakutoa bila kuuliza nakuja kutoa malalamiko hapa lakini kimya
 
Hadi nishasahau hii kitu hakuna ratiba iliyowekwa huyu binti nae kama hana akili kisa mtu haujaonekana siku moja anakutoa bila kuuliza nakuja kutoa malalamiko hapa lakini kimya
Mtu anapotumia neno la mkuu kwako then ukamtusi ni umepotoka kabisa.
 
Kafanye utafiti wako tena then uje tena hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…