Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
jibu swali mkuuHiyo inafahamika Kama Clare difference ya USA hiyo... Ila haichubui zaid ya kusoftisha ngozi tu..... Kwa mfano ukitaka ung 'ae kidog tu unaweka na makali ambayo inauzwa laki tatu na nusu..... Hiyo yenyew 80
jamani nataka kulala mapema ahaaaa? kuna sabuni niliambiwa inauzwa elf 70 kidogo nizimie. kuna lotion za laki tano mwenge paleKwahiyo mtu mmoja unapaka mafuta kwa 350,000/=???
[emoji34] [emoji35] [emoji15]
Tuzimie wote kisa ngozi tuu utoe kilo 3!!!!jamani nataka kulala mapema ahaaaa? kuna sabuni niliambiwa inauzwa elf 70 kidogo nizimie. kuna lotion za laki tano mwenge pale
MI namshauri tu afike pale dukani Dada angu nakwambia atakuja kukupa mrrjesho apa ......na Mimi nimepewa tu hizo picha za mafuat ili niwe natangaza lkn Nipo bize na chuo dat y sijamaster Sana lkn akifika pale atakutana na sister namhakikishia atarudisha ubora wa ngozi Kama zaman.... Kujichubua zilipendwa siku izi af ni ushangingi pia ko namshauri afike pale au apige hiyo nambajibu swali mkuu
ila kwa maoni yangu hizi product zako hazimfai mleta mada.japo ni nzuri.tuwe wakweli
ile sabuni bwana nikiogea bikini line inawasha sana kwanini?Tuzimie wote kisa ngozi tuu utoe kilo 3!!!!
Sabuni ya kigoma ya 500 mwezi mzima
sijasema mafuta yako mabaya.ni mazuri sana sana mkuu mimi najua ila kwa case ya huyu anaitaji kurenew skin haitaji toning products.mimi nauza vipodozi pia najua mambo ya vipodozi sana ndo field yanguMI namshauri tu afike pale dukani Dada angu nakwambia atakuja kukupa mrrjesho apa ......na Mimi nimepewa tu hizo picha za mafuat ili niwe natangaza lkn Nipo bize na chuo dat y sijamaster Sana lkn akifika pale atakutana na sister namhakikishia atarudisha ubora wa ngozi Kama zaman.... Kujichubua zilipendwa siku izi af ni ushangingi pia ko namshauri afike pale au apige hiyo namba
Hahahah... Wanawake mna mambo mengi Sana aiseee... Mbonaa kawaida hiyo hata ukienda dar fee market pale utakuta lotion za laki saba..... Sa bora lotion siku nimetumwa na sister kuchukua wig sijui weaving la laki tano ilibaki kidogo nitimue nazo mbio zile hela mana ni Ujinga tuKwahiyo mtu mmoja unapaka mafuta kwa 350,000/=???
[emoji34] [emoji35] [emoji15]
[emoji114] Naenda kulalaile sabuni bwana nikiogea bikini line inawasha sana kwanini?
kuna lotion hadi za milioni hapa hapa bongo .kuna duka lilikuwa kinondoni naona kafunga siku hizi jackies cosmetics pale sabuni tu laki .Hahahah... Wanawake mna mambo mengi Sana aiseee... Mbonaa kawaida hiyo hata ukienda dar fee market pale utakuta lotion za laki saba..... Sa bora lotion siku nimetumwa na sister kuchukua wig sijui weaving la laki tano ilibaki kidogo nitimue nazo mbio zile hela mana ni Ujinga tu
usiku mwema jamani ahahaaaa[emoji114] Naenda kulala
Yani simanish ivo tu nilivotuma hapo ndo vinapatikana hapana...... Dada miss natafuta nimewashuhudia pale kwa sister angu watu wanaorenew ngozi wengi tu na matokeo yalikuwa mazuri.... Achana na hizo toning lkn kuna lotion nyingi tu palesijasema mafuta yako mabaya.ni mazuri sana sana mkuu mimi najua ila kwa case ya huyu anaitaji kurenew skin haitaji toning products.mimi nauza vipodozi pia najua mambo ya vipodozi sana ndo field yangu
wewe umeweka picha ya toning ndo shida .sasa akienda pale atasema apewe hyo itazidi kumngarisha tena .wewe mwambie afike dukani kwenu kuna tiba.tunaeleweshana tu mkuu sio kwamba nimeponda vipodozi vyako.unajua kila mtu kuna kitu anataka,wengine wanataka kujichubua wawe weupe,wengine wangae tu,wengine kurudisha ngozi zao.so inatakiwa ujue mtu anataka niniYani simanish ivo tu nilivotuma hapo ndo vinapatikana hapana...... Dada miss natafuta nimewashuhudia pale kwa sister angu watu wanaorenew ngozi wengi tu na matokeo yalikuwa mazuri.... Achana na hizo toning lkn kuna lotion nyingi tu pale
Hivyo vipodozi vyako una vitengeneza mwenyewe ? Kitu kama cha Ray c teh teh maana naona umeshangaa lotion kuuzwa laki tatusijasema mafuta yako mabaya.ni mazuri sana sana mkuu mimi najua ila kwa case ya huyu anaitaji kurenew skin haitaji toning products.mimi nauza vipodozi pia najua mambo ya vipodozi sana ndo field yangu
wewe vipi? kwani kasema anataka nini? acha kukurupuka mkuuOGA VZR NA UTAKATE, MAANA KAMA HAUOGI VZR KAZI BURE HATA UPEWE MAJINA 1000 UTAZIDI KUWA KAMA GIZA
ππππππππKwahiyo mtu mmoja unapaka mafuta kwa 350,000/=???
Aahhh hebu tulia bn, nami nimempa ushaur wangwewe vipi? kwani kasema anataka nini? acha kukurupuka mkuu
Hizo zinawekwa kwenu mashefa wa mjini, huku kwetu Kwamtogole huzikuti madukani.jamani nataka kulala mapema ahaaaa? kuna sabuni niliambiwa inauzwa elf 70 kidogo nizimie. kuna lotion za laki tano mwenge pale
mimi lofa tu siku hizi naishi vingungutiHizo zinawekwa kwenu mashefa wa mjini, huku kwetu Kwamtogole huzikuti madukani.