Natafuta lotion nzuri ya kurudisha ngozi asili

Hiyo inafahamika Kama Clare difference ya USA hiyo... Ila haichubui zaid ya kusoftisha ngozi tu..... Kwa mfano ukitaka ung 'ae kidog tu unaweka na makali ambayo inauzwa laki tatu na nusu..... Hiyo yenyew 80
e bwana eee
 
ushangingi ndo nini?
 
sijasema mafuta yako mabaya.ni mazuri sana sana mkuu mimi najua ila kwa case ya huyu anaitaji kurenew skin haitaji toning products.mimi nauza vipodozi pia najua mambo ya vipodozi sana ndo field yangu
ntakutafuta unipe maujanja[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…