MI namshauri tu afike pale dukani Dada angu nakwambia atakuja kukupa mrrjesho apa ......na Mimi nimepewa tu hizo picha za mafuat ili niwe natangaza lkn Nipo bize na chuo dat y sijamaster Sana lkn akifika pale atakutana na sister namhakikishia atarudisha ubora wa ngozi Kama zaman.... Kujichubua zilipendwa siku izi af ni ushangingi pia ko namshauri afike pale au apige hiyo namba