sasa latoya, kama huna nia ya mpenzi kwa nini usitafute tu binti mwenzako mkawa marafiki...??
watakuogopa kwa kuwa utamaduni huo hawajauzoea.
Sasa Latoya, kama huna nia ya mpenzi kwa nini usitafute tu binti mwenzako mkawa marafiki...??
Nataka friend niko so lonely apart from job sina marafiki wengi i just need a male figure as a friend in my life for now
hebu funguka bi mkubwa...si unajua sisi wanaume tuna vining'inio na vimebandikwa kaprikosheni "keep out of reach of children"?...
Let ha be,
hiyo ndio lugha gani tena?