Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
mimi niko naifanya mkuu wa kazi wala sihadithiwi... na kweli mwanaume wa dar hawezi haya mambo....maana unakuta mtu ana malengo ya kupata lets say 100M kisha anafanya kazi ya kunyoa saloon local tuu uswahilini ni ngumu... lazma ujitoe na vitu risky lakini vina return kubwa..Hata hyo kuchimba usifikiri ni kazi ya lelemama kwamba unalala nyumbani na kula chipsi kuku inataka mtu wa kujitoa sana uwe kamanda kwelikweli.
mkuu Extrovert karibu huku tubadilishane uzoefu..Compared na risks zake haivutii
Hata hyo kuchimba usifikiri ni kazi ya lelemama kwamba unalala nyumbani na kula chipsi kuku inataka mtu wa kujitoa sana uwe kamanda kwelikweli.
mkuu Extrovert karibu huku tubadilishane uzoefu..
hahaha ngoja tuone... na yeye akabidhiwe compressor ya 9.0kgf/cm2 halafu bahati mbaya flexible pipe ipasuke baada ya kuzidiwa na nguvu ya upepo.... karibu ya uso wake.... hapo atakuwa amekaribishwa kazini..huyo hawez kbs kukuelewa...!
Mkuu unataka kuniambia ukianza kuchimba Sasa hivi hayo madini ya kupata milioni 100 unakuja kuyapata mwaka gani?au ndio ile watu wanafanya kwa matumaini tu miaka inakatika.mimi niko naifanya mkuu wa kazi wala sihadithiwi... na kweli mwanaume wa dar hawezi haya mambo....maana unakuta mtu ana malengo ya kupata lets say 100M kisha anafanya kazi ya kunyoa saloon local tuu uswahilini ni ngumu... lazma ujitoe na vitu risky lakini vina return kubwa..
asante..
Mkuu unataka kuniambia ukianza kuchimba Sasa hivi hayo madini ya kupata milioni 100 unakuja kuyapata mwaka gani?au ndio ile watu wanafanya kwa matumaini tu miaka inakatika.
hahahaa unakuja sasa kwenye point..... upambanaji wako tuu mkuu wako watu wameingia tuuu wamewekeza kiasi na wamework hard kwenye mawe mazuri..... wamepokelewa na kilo kadhaa sasa hiyo milioni 100 its nothing huko magharibi nenda ukajionee unadhani wasukuma jeuri wanatoa wapi..Mkuu unataka kuniambia ukianza kuchimba Sasa hivi hayo madini ya kupata milioni 100 unakuja kuyapata mwaka gani?au ndio ile watu wanafanya kwa matumaini tu miaka inakatika.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hahahahahabah....unaweza anza leo tar 17 ukawekeza let say 3m..after 14dys ukalamba 40m[emoji847][emoji847].. n vice versa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sidhani mkuu,ingekuwa hvyo watu wangejazana mgodi usingetosha.
Mtafute BitekoMimi ni mwanamke mjasiriamali.
Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).
Iwe ni kota au anamiliki eneo la uchimbaji au awe ana mwalo nitafurahi pia..!
Mimi pia niko kwenye biashara hii ya madini.
Nahitaji aliye serious tusaidiane na kubadilishana mawazo pia...iwe mwanamke au mwanamume!
kwani unadhani kuna watu kidogo..... hujawahi kuona sehemu pakiwaka???... watu wanarundikana wengine wanalala chini ya miti tuu na ukijilaza usiku unashtuka uko na timu ya watu na wao wameunga hapohapo....ila ni survival for the fittest... wanabaki wenye nguvu tu.... wale dhaifu wanapisha kuwaachia wabishi watawale...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sidhani mkuu,ingekuwa hvyo watu wangejazana mgodi usingetosha.
Mtafute Biteko
Yaani nikitumia logic naona hainiingii akilini.Ingekuwa hvyo unavyosema wasukuma wote wangeacha kuvua samaki wakajazana mgodini,yaani biashara zingine zisingefanyika.hahahaa unakuja sasa kwenye point..... upambanaji wako tuu mkuu wako watu wameingia tuuu wamewekeza kiasi na wamework hard kwenye mawe mazuri..... wamepokelewa na kilo kadhaa sasa hiyo milioni 100 its nothing huko magharibi nenda ukajionee unadhani wasukuma jeuri wanatoa wapi..
kwani unadhani kuna watu kidogo..... hujawahi kuona sehemu pakiwaka???... watu wanarundikana wengine wanalala chini ya miti tuu na ukijilaza usiku unashtuka uko na timu ya watu na wao wameunga hapohapo....ila ni survival for the fittest... wanabaki wenye nguvu tu.... wale dhaifu wanapisha kuwaachia wabishi watawale...
tatizo ni elimu mkuu... usifananishe gold na tanzanite.... dhahabu huwezi kuta eti mtu anachimba miaka 20 hajaona.... hiyo ni nje nje... sema tanzanite wakipata wamepata.... once and for all.... ila gold hata ukipata point mbili kila siku hulali njaa... af utaratibu ni tofauti kabisa... kingine hayo ni mgawanyo tu wa rizki haiwezekani dunia nzima ikafanya kitu cha aina moja.... as long as wanaishi.... inatosha..Yaani nikitumia logic naona hainiingii akilini.Ingekuwa hvyo unavyosema wasukuma wote wangeacha kuvua samaki wakajazana mgodini,yaani biashara zingine zisingefanyika.
Unajua Mimi Kuna kipindi niliishi Arusha Sasa nikaanza kuwahoji wenyeji wa kule kuhusu kazi ya madini.
Walichonijibu nikaishiwa pozi,waliniambia kwamba kwa wale wamiliki wa mgodi anawaweka team ya vibarua na anakuwa na kazi ya kuwalisha chakula kila siku kwa muda wa miaka hata mitano wanachimba tu na wanaweza wasiambulie kitu.
Na wale Wana Apollo wanaacha miji yao kwa miaka hata 20 anaambulia hela ndogondogo za kula tu.
hahaha we acha tu... unabadilika rangi kama kinyonga vile..hawez kukuelewa✌✌✌...aje aone tunapolala kina siye
Wewe hyo kazi umeianza lini?na umepata mamilioni mangapi kupitia uchimbaji wa dhahabu?tatizo ni elimu mkuu... usifananishe gold na tanzanite.... dhahabu huwezi kuta eti mtu anachimba miaka 20 hajaona.... hiyo ni nje nje... sema tanzanite wakipata wamepata.... once and for all.... ila gold hata ukipata point mbili kila siku hulali njaa... af utaratibu ni tofauti kabisa... kingine hayo ni mgawanyo tu wa rizki haiwezekani dunia nzima ikafanya kitu cha aina moja.... as long as wanaishi.... inatosha..
Wewe hyo kazi umeianza lini?na umepata mamilioni mangapi kupitia uchimbaji wa dhahabu?
Itabid uwe karibu na mm uwe unafurah mara kwa mara uongeze siku za kuishi.sijui kwann nacheka na comments zako..dah..ww wndelea kubet mkuu..na sisi tuendelee kubet huku kidhahabu dhahabu