Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
-
- #81
Kila la heri mwaya
Nikijisikia mpweke rafiki yangu mkubwa Heineken ya baridiiii nalewa nalala
[emoji23] mi ulevi hapana
We unapendelea nini
Vingine vingi ila sio pombe
Ni pmNahitaji marafiki wa kuchat, kushea nao mawazo..nina upweke!
Wawe umri wowote
Au kama una group la whatsapp lenye mambo ya maana niunge.
Ni hayo tu
Aggy
Kaka hili janga ndo limenifanya hivi.
Usinifikirie vibaya
Njoo PM. Ila mi nahitaji mapenzi.. Very straightNahitaji marafiki wa kuchat, kushea nao mawazo..nina upweke!
Wawe umri wowote
Au kama una group la whatsapp lenye mambo ya maana niunge.
Ni hayo tu
Aggy
mbona sehemu za kujichanganya baada ya kaxi ziko nyingi,tatizo letu wengi hatuna hobbies/extracurricular activities,tunajua kutafuta hela tu,ukiwa na hobbies ama vitu vya ziada vya kufanya,iwe michezo,sanaa etc inakuwa ngumu kutokuea na marafiki wa kukupa companyAcheni tu, upweke ni kitu kingine hatari sana, wenye miaka 25 to 30 inatokea sana hii kitu, inanisumbua mno, unashika hiki hakishikiki natamani kila siku iwe siku ya kazi, usiku ndio changamoto sana
Mtoa mada nakuelewa sana.
Si korosho mkuu au HujuhJanga gani hilo tena?
mbona sehemu za kujichanganya baada ya kaxi ziko nyingi,tatizo letu wengi hatuna hobbies/extracurricular activities,tunajua kutafuta hela tu,ukiwa na hobbies ama vitu vya ziada vya kufanya,iwe michezo,sanaa etc inakuwa ngumu kutokuea na marafiki wa kukupa company
kama unakula msuba tunaweza kuwa marafiki
Njoo PM. Ila mi nahitaji mapenzi.. Very straight
Nakutahadharisha uwe makini, unaweza kuzidisha majanga.
Ukipata marafiki wengi naomba unigawie na mimi wachache
Kiivyo yani. Au neno mapenzi kwako halieleweki Aggy. Hujawahi pewa penzi na jinsia ya kiume?Kivipi yani