Natafuta masoko ya zao la Korosho Mbichi na za kukausha. Tupeane feedbacks za deal hii

Natafuta masoko ya zao la Korosho Mbichi na za kukausha. Tupeane feedbacks za deal hii

Honest K

Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
5
Reaction score
1
Habari wadau wa Kilimo ,naomba tusaidiane kuhusu kupata masoko ya UHAKIKA ya Korosho mbichi grade A mzigo upo wa Kutosha tokea Mtwara-Tandahimba

Utapendeza zaidi kupata masoko Kanda ya Ziwa ,Kaskazin and nje ya mipaka ya Tanzania.

255784270450_status_655d124db8c74020b074c1fbf69e9ba2.jpg
255784270450_status_e0ea9b5b5864403695cf519ae765aceb.jpg
255784270450_status_aa46f151b1ed4e40b1763a6cb584cbd1.jpg
 
Back
Top Bottom