Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Mkuu mbwa wa kienyeji mbona wapo wengi tu wamezagaa mitaani wanakula mavi ya walevi!Nipo mwanza mjini natafuta mbwa
Bei iwe kitonga aisee sitaki mbwa wa kizungu.
Rangi :Nyeusi itapendeza zaidi
Tabia: Mkali sana
Bei: Isizidi elf 20
Nataka watoto wa mbwaMkuu mbwa wa kienyeji mbona wapo wengi tu wamezagaa mitaani wanakula mavi ya walevi!
We nenda maeneo ya machinjioni, dampo na maeneo ya vilabu vya pombe mwitu utakuta mijibwa kibao unajichukulia hata bure( kuhusu kuwa mkali unamvutisha bange kidogo)
🤣🤣🤒Mkuu mbwa wa kienyeji mbona wapo wengi tu wamezagaa mitaani wanakula mavi ya walevi!
We nenda maeneo ya machinjioni, dampo na maeneo ya vilabu vya pombe mwitu utakuta mijibwa kibao unajichukulia hata bure( kuhusu kuwa mkali unamvutisha bange kidogo)
Humu jf kuna watu wa hovyo😂
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏿Hao wapo kibao sana ,mimi wakati naanza kufiga mbwa nilinunua Tsh 500.
Hata mm kuna mtoto alileta mbwa wawili kwa elf 1😂😂Hao wapo kibao sana ,mimi wakati naanza kufiga mbwa nilinunua Tsh 500.
Kiafrica africa mbwa huwa hawauzi wanawagawa maana unakuta amezaa mwenye nao hawezi kuwatunza woteHao wapo kibao sana ,mimi wakati naanza kufiga mbwa nilinunua Tsh 500.
we kucheka tu🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏿
🤣🤣🤣 amesema zinauzwa jero tu🥴we kucheka tu
ndio🤣🤣🤣 amesema zinauzwa jero tu🥴
🤣Mkuu hapo mwanza niliishi miaka ya 2019, aseee hivi hao mbwa wanaozurura mitaani wanatoka wapi? Alafu hata hawang'ati, nilkuwa na akili za kitoto skufkiria hata kuchunguza wenyeji kuhusu hilo
Yaani acha tu to yeye ni wengi wee na mi nlpotokea hapakuwa na mbwa wa kuzurura ovyo basi nilkuwa nawashangaa tu
wanakua wametelekezwaMkuu hapo mwanza niliishi miaka ya 2019, aseee hivi hao mbwa wanaozurura mitaani wanatoka wapi? Alafu hata hawang'ati, nilkuwa na akili za kitoto skufkiria hata kuchunguza wenyeji kuhusu hilo
ulitokea wapi MahiiYaani acha tu to yeye ni wengi wee na mi nlpotokea hapakuwa na mbwa wa kuzurura ovyo basi nilkuwa nawashangaa tu
Ndiyo apewe mmoja mleta mada🤣🤣Yaani acha tu to yeye ni wengi wee na mi nlpotokea hapakuwa na mbwa wa kuzurura ovyo basi nilkuwa nawashangaa tu
Ndo nlichowaza maana ni kienyeji pure kabisa ateke kitoto 😂Ndiyo apewe mmoja mleta mada🤣🤣
😳mbwa umeachana nazo sasa umeanza kuita watu mahii 🙄ulitokea wapi Mahii