Cc: Friedrich NietzscheNdo nlichowaza maana ni kienyeji pure kabisa ateke kitoto π
yaan mbwa koko ninunue bei kubwa mkuu basi πππnitasubiri wakupewa tu mtaani wakizaaga huwa wanagawakama kweli uko seriaz, kwa afu 20 ni uongo. hailipi boss wangu. View attachment 2961961
ingawa haka kambwa kazurikama kweli uko seriaz, kwa afu 20 ni uongo. hailipi boss wangu. View attachment 2961961
π€£π€£π€£ huyu kijana anahatari sana aiseeπ€ππππMahiiii wangu to yeye
π€£π€£π€£π€£π€£ππΏyaan mbwa koko ninunue bei kubwa mkuu basi πππnitasubiri wakupewa tu mtaani wakizaaga huwa wanagawa
Jamani...daah mzuri kweli...afu kachangamfu inaonyeshaπkama kweli uko seriaz, kwa afu 20 ni uongo. hailipi boss wangu. View attachment 2961961
π€£π€£ sawasawadaaah hii nchi ni ngumu dada!! ukikosa unachotaka chukua kinachoonekana
mkuu unauza mbwa bila shakaMkuu mbwa wa kienyeji mbona wapo wengi tu wamezagaa mitaani wanakula mavi ya walevi!
We nenda maeneo ya machinjioni, dampo na maeneo ya vilabu vya pombe mwitu utakuta mijibwa kibao unajichukulia hata bure( kuhusu kuwa mkali unamvutisha bange kidogo)
Aseee katika maeneo yenye mbwa waliozagaa hovyo ni Mwanza, mara ya kwanza nilipoenda niliona kundi la mbwa kama 20 hivi, mwanzo nilidhani labda ni mbuzi, ile kucheki vizuri ni mijibwa tupuMkuu mbwa wa kienyeji mbona wapo wengi tu wamezagaa mitaani wanakula mavi ya walevi!
We nenda maeneo ya machinjioni, dampo na maeneo ya vilabu vya pombe mwitu utakuta mijibwa kibao unajichukulia hata bure( kuhusu kuwa mkali unamvutisha bange kidogo)
Huyu mbwa lazma atakua ni last bornkama kweli uko seriaz, kwa afu 20 ni uongo. hailipi boss wangu. View attachment 2961961
Hata mm kuna mtoto alileta mbwa wawili kwa elf 1ππ
wa kupewa utashindwa kumthamini. Mbwa anaanza kupata thamani unapokuwa umetoa pesa kumpatayaan mbwa koko ninunue bei kubwa mkuu basi [emoji23][emoji23][emoji23]nitasubiri wakupewa tu mtaani wakizaaga huwa wanagawa
mkuu, huyu alikuwa na bili ya maziwa, na order ya nyama mabuchani. kuna mtu anakula ada ya mafunzo yake[emoji28]ingawa haka kambwa kazuri
[emoji23] umejuaje,? maana ni kweli kabisa! EvelynHuyu mbwa lazma atakua ni last born
kama hajisaidii mazingira ya nyumbani, maana yake huwa anazurura.Atlset fika 100 nkupe huyu anachanjo zote anaoshwa kila jpl anafunguliwa usku tu hazuruli kama ao unaowaita wa kienyej na jina lake analifaham namwita chiko pia ajisaidii bandan kwake wala mazngra ya nyumban
View attachment 2962036
heeeh kweli umewekezamkuu, huyu alikuwa na bili ya maziwa, na order ya nyama mabuchani. kuna mtu anakula ada ya mafunzo yake[emoji28]