Natafuta mchumba age kuanzia 40-42

Natafuta mchumba age kuanzia 40-42

Wewe ndo unajua mambo hiyo age mie naipenda kweli utapata mwaya subiria tu safi sana!!!
 
happy new year to you too.....l.o.l vipi kaka inakuwaje? long time no see nadhani itabidi niende jukwaa la utambulisho nielekezwe upya......l.o.l dah!
We need to have a serious talk you cannot just be disappearing this way
 
Fidel sina mbavu yaani ulichomwambia ni kweli maana kwa 42 nadhani anataka awe small house

Au atabahatika mwanaume aliye fiwa sijui nae mnamwita mjane?

Kwa mwanaume mwenye Age ya 42 na kwendelea wanapenda dogo dogo zaidi.
 
Au atabahatika mwanaume aliye fiwa sijui nae mnamwita mjane?

Kwa mwanaume mwenye Age ya 42 na kwendelea wanapenda dogo dogo zaidi.

Hiyo ndo raha yake wanajua na kutunza sana maana kashafanyaaaa weeeeeeeeeee kachoka kwa hiyo anaona vya kawaida ametulia anakula taratibu sio kama Fidel bado anatest test zikoje ha ha ha ha usianze hapa na wewe
 
Hawa wanafaa, halafu wanasamehe haraka!!
Kila la heri.
 
Fidel mwanaume aliyefiwa na mke anaitwa Mgane,htaa hivyo atapata tu asikate tamaa ila inabidi azidi kuongeza umri kila mwaka unaposogea
 
all the best dada.age hizo ndio nzuri,usijali,utafanikiwa tu
 
Acha bana.
Ujana wako ulikuwa na nani??????
uzee wako ule na huyo unayemtafuta?
Mfuate MZEE GULUMO!!!????
 
Jaman apewe ushauri au kama kuna aliepo free awasiliane. Huenda aliwai kuwa na hawa vijana wakamtenda ndo maana anaona kuwa mtu wa huo umri atakuwa ametulia ma amekaa kimajukumu zaidi. Mi simshangai kwani lazima kutakuwa na sababu yake kuchagua huo umri. Au kama anabisha ajibu hii hoja. Utapata usijali, ila wape watu umri wako nao wajue watajitokeza. Kila la heri, inshallah utapata.
 
mnh umri huo kila mtu kaoa na ana watoto,ukimkuta hajaoa huyo ana kasoro....kubali kuwa mke wa pili bibie...
 
wewe ni she una umri gani,mbona hutoi taarifa zako hapa,mi naona haujajipanga na hauko siriasi na unachokitafuta_weka taarifa za kujitosheleza.sidhani kama wapo watu watapenda kuingia kichwa kichwa bila kumfahamu mlengwa

mimi nina 40yrs ninafanya kazi pia
 
Yaaani age hiyo kama ya waume zetu sie dou! labda aliyefiwa na mke. ila usikate tamaa wapo mmojammoja hawajaoa
 
Acha bana.
Ujana wako ulikuwa na nani??????
uzee wako ule na huyo unayemtafuta?
Mfuate MZEE GULUMO!!!????

Jaman si amesema anataka mzee mwenzake miaka hiyo na yeye yuko 40? didas bana acha hizo khaaaaaaa!!!!?
 
mimi nina 40yrs ninafanya kazi pia

Utapata usiwe na haraka ebu ongeza sifa nyingine ulizonazo eg;ukubwa wa kiuno chako,urefu wako,Miguu yako ni chupa ya bia au fito ili nijiandae kununua suali kwa sana,rangi yako mweusi,mweupe au maji ya kunde,makalio yakoje,kifua kimekaaje ?,je una mtoto.uko tayari kubeba mimba maana umri wako wanawake wengi wameshapumzika.

Ebu tuma fasta......ueda umeshapata mume.
 
ni maji ya kunde, umbile la kichaga, kifua kipana makalio kiasi nina mtoto mmoja sijapumzika kubeba mimba naona yatosha
 
Back
Top Bottom