Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo utasugua sana benchi maana wote wanamilikiwa tayari labda uombe kuwa nyumba ndogo
We need to have a serious talk you cannot just be disappearing this wayhappy new year to you too.....l.o.l vipi kaka inakuwaje? long time no see nadhani itabidi niende jukwaa la utambulisho nielekezwe upya......l.o.l dah!
Fidel sina mbavu yaani ulichomwambia ni kweli maana kwa 42 nadhani anataka awe small house
Au atabahatika mwanaume aliye fiwa sijui nae mnamwita mjane?
Kwa mwanaume mwenye Age ya 42 na kwendelea wanapenda dogo dogo zaidi.
haya bana.....
Nayo siku hizi wanasema ruksa
wewe ni she una umri gani,mbona hutoi taarifa zako hapa,mi naona haujajipanga na hauko siriasi na unachokitafuta_weka taarifa za kujitosheleza.sidhani kama wapo watu watapenda kuingia kichwa kichwa bila kumfahamu mlengwa
Acha bana.
Ujana wako ulikuwa na nani??????
uzee wako ule na huyo unayemtafuta?
Mfuate MZEE GULUMO!!!????
mimi nina 40yrs ninafanya kazi pia