The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Mama Mkwe....:A S-coffee::A S-coffee:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Mkwe....:A S-coffee::A S-coffee:
mwanaume kuanzai 40-42 asante
Ninatafuta mchumba mkristo age 40-42 awe anafanya kazi kama mimi na mcha mungu pia.
Sio kwamba hawapo lakini you have to go an extra mile kupata mwanaume wa age hiyo ya 40 - 42
Kama wanasimamia mikono vile!
Mama Mkwe....
Kawaida ya wapi? Mwanamke wa miaka 40 hastahili kuolewa? Au mtu mzima hastahili kuolewa? Na kama anastahili, asitafute? What are you talking about? "...unaweza tu kujua..." Really???? OK, Alifanya nini ujana wake?No matter what happened to her, kwa kawaida mwanamke mwenye umri wa miaka 40 ambaye mi namuona ni mtu mzima hawezi kuja hapa jamvini na kutafuta mchumba. From there unaweza tu kujua kwenye ujana wake alikuwa anafanya nini?
HALAFU IKAWA patashikaJINSIA GANI
naogopa kujitokeza isijekuwa tunajinsia moja