Aged Singles Kama kweli mko serious mnatafuta wachumba, jaribuni sites za wenzetu nje, huko mtawakuta watu wazima wengine hawajawahi kuoa au kuolewa. Hapa ni ushamba tu mtakutana nao watu wakidhani wenzao waliochelewa kuoa au kuolewa kwa sababu mbalimbali hawastahili. Nina ndg. yangu miaka 40 hana hata dalili ataoa lini, tumemlengeshea wadada hadi tumechoka tumeacha tunasubiri tutakacholetewa. Nyie vijana acheni kuongea pumba hapa mkidhani ukumbi huu mmewekewa nyie tu. Huu ukumbi ni kwa wote wanaotafuta negative comments zenu zinaonyesha jinsi ambavyo hamjastaarabika ama kuelewa kwamba kila mtu ana haki katika eneo fulani la maisha haijalishi umri.