Onhoo,tena
Kila la kheri Mkuu katika utafutajiHabari za Kazi,
Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.
Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri usizidi 38, awe mcha Mungu kiasi au sana ni sawa tu, awe mfanyakazi na awe tayari kuja kuishi Dar kama atakua mkoani. Kama uko tayari au unafikiri unaweza kunifaa karibu.
Mimi ni mjasiriamali, najimudu, nimeshajenga, niko tayari kwa ndoa, elimu yangu ni Masters, sio mrefu ila sio mfupi, inategemea na urefu wako au ufupi wako.
Only serious ladies tafadhali.
Nilioa, nina watotoBefore tuje pm, kwa umri huu hujawahi kuoa best? Huna mtoto?
Naomba nisieleweke vibayaTatizo limeanzia hapo kwenye kuhitaji sana watoto kwa sasa....inabidi kuolewa na mtu anayetaka mke watoto matokeo...
Unataka uongeze wangapi mkuu?Nilioa, nina watoto
Tukaanue nguo π€£Jua limezama π
Ok,futa comment twende sawa shemejiNaomba nisieleweke vibaya
πππππTukaanue nguo π€£
Nimeshauriwa nisiseme habari za watoto, nizungumzie mke kwanzaUnataka uongeze wangapi mkuu?
Wangapi? Mama yao yupo wapi?Nilioa, nina watoto
Ongea nami bhana nikupe watoto chapπNimeshauriwa nisiseme habari za watoto, nizungumzie mke kwanza
Hizi nyuzi mbona zinakujaga sana siku za Ijumaa,walengwa hapa mnatakiwa muwe makini...Habari za Kazi,
Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.
Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri usizidi 38, awe mcha Mungu kiasi au sana ni sawa tu, awe mfanyakazi na awe tayari kuja kuishi Dar kama atakua mkoani. Kama uko tayari au unafikiri unaweza kunifaa karibu.
Mimi ni mjasiriamali, najimudu, nimeshajenga, niko tayari kwa ndoa, elimu yangu ni Masters, sio mrefu ila sio mfupi, inategemea na urefu wako au ufupi wako.
Only serious ladies tafadhali.