Natafuta Mchumba aje kuwa mke

Natafuta Mchumba aje kuwa mke

Habari za Kazi,

Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.

Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri usizidi 38, awe mcha Mungu kiasi au sana ni sawa tu, awe mfanyakazi na awe tayari kuja kuishi Dar kama atakua mkoani. Kama uko tayari au unafikiri unaweza kunifaa karibu.

Mimi ni mjasiriamali, najimudu, nimeshajenga, niko tayari kwa ndoa, elimu yangu ni Masters, sio mrefu ila sio mfupi, inategemea na urefu wako au ufupi wako.

Only serious ladies tafadhali.
Maalim ukipata wawili au watatu nipigie cross na mimi.....
 
pole mkuu shift wadada waliojitokeza kwenye uzi wako ni vichwa vigumu / wataalamu wa hizi kazi / generation Z. Hope serious ones wamekufata pm.


Lakin usisahau NDOA NI UTAPELI.
 
Habari za Kazi,

Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.

Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri usizidi 38, awe mcha Mungu kiasi au sana ni sawa tu, awe mfanyakazi na awe tayari kuja kuishi Dar kama atakua mkoani. Kama uko tayari au unafikiri unaweza kunifaa karibu.

Mimi ni mjasiriamali, najimudu, nimeshajenga, niko tayari kwa ndoa, elimu yangu ni Masters, sio mrefu ila sio mfupi, inategemea na urefu wako au ufupi wako.

Only serious ladies tafadhali.
Baby nipo hapa
 
pole mkuu shift wadada waliojitokeza kwenye uzi wako ni vichwa vigumu / wataalamu wa hizi kazi / generation Z. Hope serious ones wamekufata pm.


Lakin usisahau NDOA NI UTAPELI.
Nashukuru sana Inshallah nitapata
 
Habari za Kazi,

Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.

Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri usizidi 38, awe mcha Mungu kiasi au sana ni sawa tu, awe mfanyakazi na awe tayari kuja kuishi Dar kama atakua mkoani. Kama uko tayari au unafikiri unaweza kunifaa karibu.

Mimi ni mjasiriamali, najimudu, nimeshajenga, niko tayari kwa ndoa, elimu yangu ni Masters, sio mrefu ila sio mfupi, inategemea na urefu wako au ufupi wako.

Only serious ladies tafadhali.
Nilikuwa nakusubilia wewe.
 
Habari za Kazi,

Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.

Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri usizidi 38, awe mcha Mungu kiasi au sana ni sawa tu, awe mfanyakazi na awe tayari kuja kuishi Dar kama atakua mkoani. Kama uko tayari au unafikiri unaweza kunifaa karibu.

Mimi ni mjasiriamali, najimudu, nimeshajenga, niko tayari kwa ndoa, elimu yangu ni Masters, sio mrefu ila sio mfupi, inategemea na urefu wako au ufupi wako.

Only serious ladies tafadhali.
Mungu ni nwema
 
Back
Top Bottom