Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka usiishe basi,Kweli unataka kula wali wangu wa harusi?
Amen, tuombe uzima❤️😋Mwaka usiishe basi,
Yeah 😍😘Amen, tuombe uzima❤️😋
watu wanagonga mpaka 42 na zaidi hawajawahi kuoa wala kuzaa, ni mishe tu za kimaisha ila kuna wengine wana mtoto lakini hawana wakeBefore tuje pm, kwa umri huu hujawahi kuoa best? Huna mtoto?
Siku hz wanaume wengi wakifikisha 25 tayari wanakuwa na watotowatu wanagonga mpaka 42 na zaidi hawajawahi kuoa wala kuzaa, ni mishe tu za kimaisha ila kuna wengine wana mtoto lakini hawana wake
tueleze huyo mkeo yuko wapi?Nilioa, nina watoto
ya nini atake kuongeza watoto wakati anae? Labda mke mpya atake yeye kuzaa kama hataki poa tuUnataka uongeze wangapi mkuu?
Umri ukisogea na maradhi yakigonga hodi ndio utajua umuhimu wa kua na mwenza.Miaka 40 kama tayari nina watoto na mke alishasepa sina mpango wa kuoa. Nitakua nasaidia tu wenye kuhitaji penzi na watoto
Changamka fursa hyo tunatakakuona ushuda jumapiliWangapi? Mama yao yupo wapi?
HujakoseaUmri ukisogea na maradhi yakigonga hodi ndio utajua umuhimu wa kua na mwenza.
mind kwamba huyo mtoto watazeeka na baba yake. Akiwa wa kike akizaa fasta jamaa atakuwa anaitwa babu angali ni kijana mdogoSiku hz wanaume wengi wakifikisha 25 tayari wanakuwa na watoto
Inshaalah mkuuChangamka fursa hyo tunatakakuona ushuda jumapili
Aisee nimeona tag hiyo...ila anataka mfanyakazi sijui alieajiriwa
Mke alikufa?Nilioa, nina watoto
We kaza hvohvo ajira tutatafuta hata kwenye ndoaAisee nimeona tag hiyo...ila anataka mfanyakazi sijui alieajiriwa