Natafuta mchumba ambae badae awe mume

Ukiisoma vizur na kama una common sense......!!!!

Utagundua ana akili ya ujasiliamali

Msituchukulie tegemezi sana kwakua mnaitwa kichwa cha familia.[emoji10]
 
Let's talk
0674333223
 
Mimi natafta kazi je kwenye ujasiriamali wako kuna kinafasi hapo? Vigezo vingine vyote viko safi. Naomba unikubalie Mpenzi
 
Chura yupo?
 
Kaka wewe ni mrefu nitafte. Kama mfupi acha tu. Na usiwe Bonge
 
Jiphotoee kwanza tukukague kama na ww unakizi vigezo
 
21 hapana??? kwanza mapenzi umr dadaanguuuu??
anamaanisha wewe bado mvulana,yeye anatafuta mwanaume,
lakini mi nina mdogo wangu alioa akiwa 21 na bado yuko mkewe leo mwaka 10,
kuna wavulana pia walio serious na maisha japo katika 100 utapata 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…