Natafuta mchumba ambae badae awe mume

Unapatikana wapi?
 
Tunaomba uiweke vizur application yako maana hatujui unapatikana wap
 
dah sio zari sifa zote ninazo ila kigezo cha dini ndio kumechemka??
 
Dah..... Safi sana... Unarudi nyumbani umechoka na "steleses" kibao.... Unakuta mazagaza ya ukweli mezani... Unaimbiwa.... Unachezewa... Kwanini usiishi miaka 200?....Fursa hiyo [emoji13] [emoji13]
 
Kwa maelezo yako utampata maana sioni kama unamkopo wowote popote zaidi ya gengeni na kwa mangi
 
Nipo hapa Nina sifa zote unaxotaka,ila na mm ila na mm nina vigezo vyangu,kwanza elimu yako angalao iwe ya o,levo Pili uwe na hofu ya mungu,tatu uwe msafi nne usiwe mlevi na tano uwe na kaz hata ya kuajiriwa sio mama wa nyumban, kama upo tayar nichek
 

Hapo kwenye weupe/ maji ya kunde umeniacha dah
 
yeah,unatoka job na stress za boss,unakuta kakupikia eggroll,unakula huku anakuchezea kuch kuch hota he
Teh teh teh teh...hicho kigezo cha kucheza mziki asingekiweka kwa CV yake!...labda kucheza mziki in a productive way e.g mnenguaji wa bend flan au msanii flan hapa mjin
 
joined saturday...
anatafuta mchumba!!
mmmh ebu njoo na ID yako ya zamani ueleweke vizuri
 
Ni pm navigezo vyote
 
Awe msafi hadi roho, hapa omo inahusika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…